Jamani Daughter mbona unakuwa kachoyo hivyo tena? Mmh, au hujasoma ile "Caring is Sharing"?........so vizuri hivo....
Anyway, wataalamu watakuja ila kama utataka wasitumie tu chip yako labda kwa ku-save bundle unaweza kuweka lock ya password kwenye line yako (nadhani hii inawezekana kwa kutumia handset) na hakuna mtu anaeweza kuitumia mpaka uweke hiyo pass-code
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.