wende
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 714
- 65
Salaam kwa wana JF wote!
Ni kuwa wakati napiga simu,mpokeaji/receiver ananisikia kwa mbali/shida sana (i.e. sauti yangu inakuwa chini mno). Wakati huo mimi nakuwa namsikia vizuri sana! Inafika muda kila ninayempigia simu,lazima aniambie niongeze sauti ili anisikie vizuri. Kuna wakati fulani mpaka inakuwa kero maana natumia energy kubwa sana ili nisikike clear. Simu yenyewe ni NOKIA ya kichina. Nisaidieni jamani,nifanye nini na hichi kimeo cha kichina ili niweze kusikika vizuri kwa wote ninaowapigia?????. P/se naomba kuwasilisha.
Ni kuwa wakati napiga simu,mpokeaji/receiver ananisikia kwa mbali/shida sana (i.e. sauti yangu inakuwa chini mno). Wakati huo mimi nakuwa namsikia vizuri sana! Inafika muda kila ninayempigia simu,lazima aniambie niongeze sauti ili anisikie vizuri. Kuna wakati fulani mpaka inakuwa kero maana natumia energy kubwa sana ili nisikike clear. Simu yenyewe ni NOKIA ya kichina. Nisaidieni jamani,nifanye nini na hichi kimeo cha kichina ili niweze kusikika vizuri kwa wote ninaowapigia?????. P/se naomba kuwasilisha.