hiyo modem naomba kuwa na mashaka juu ya upatikanaji wake kama niwa uhakika basi mahal ulipo kma kuna ofis za zantel bas fika na risiti afu wata swap na kuflash a whole systems
sasa wengine risit ya vitu kama hivi hata hatutunzagi...kwanza hata sikumbuki kama nilipewa na risit...!! inakuaje hapo..!!?hiyo modem naomba kuwa na mashaka juu ya upatikanaji wake kama niwa uhakika basi mahal ulipo kma kuna ofis za zantel bas fika na risiti afu wata swap na kuflash a whole systems
sasa wengine risit ya vitu kama hivi hata hatutunzagi...kwanza hata sikumbuki kama nilipewa na risit...!! inakuaje hapo..!!?
Nitawezaje ku-unlock zantel modem ya Model: HUWAEI EC122?