Nassor Mwanaharakati
Member
- Dec 13, 2011
- 34
- 1
Nina iphone 3g ila bluetoth imenishinnda kutumia nifanyaje ? Nakuombeni mnisaidie
unataka kufanyia nini manake bluetoth ya iphoni ni noma imebaniwa huwezi kuchakachua utume picha wala vitu vingine nayo ni kama una earpiece ndo inaunga na baazi ya systems za magari za handset free vinginevyo iphone is a lockdown device kwa ajili ya security