Wadau habari,naombeni msaada wenu,natafuta modem kwa ajili ya matumizi ya internet ya airtel,nimetafuta sana kwy maduka yao lakini wanadai hawana kwa sasa,au naweza kupata wapi modem ambayo ni...
Nimejaribu ku-google lakini bado nipo njiapanda. Kwani kila kompyuta inapo-boot, antivirus inanipa options za kufungua "wusa32.exe", in sandbox,normally au cancel opening.
Wanajamvi napinga piracy hasa ya kazi za watanzania lakini pia napinga watu wanajifanya wako kifua mbele kupinga piracy inayoweza kuwa mkombozi wa taifa letu.
Mfano. Shule na vyuo hazina...
wataalam naomba msaada wa haraka nina sony ericsson k800i ambayo kabla ya kuiflsh nilikuwa napata internet vizuri lkn baada ya hapo nikijaribu ku-google kitu chochote inasearch kwa muda mrefu...
wakuu kwenye pc yangu natumia kaspersky ant virus,lakin naona mda wake uko mwishoni, sas nahitaji msaada wa jinsi ya kuikeep all the time running na sihitaji kupurchase license kam ilivyo..nataka...
Wakuu nina frash yangu ambayo imeanza kunizingua baada ya kumuazimisha mtu mmoja lakini sahivi kila nikiichomeka kwenye pc yangu inanipa hii message'' you need to format the disc in drive G...
Wakuu naomba msaada wenu kwa yeyote mwenye kujua ni wapi naweza pata/down load engine electrical wiring.
Mchoro wa engine model :1KZ-TE, 1JZ
kuna gari ilipata ajari so wezi waliiba baadhi ya...
niliweka applicatioo ya theftaware(find me) kwenye simu yangu,na ikawa inafanya kazi vizuri cha ajabu kuanzia jana,hata bila kubadilisha simcard inatuma s ms ovyo tu,wakati ilitakiwa ifanye hivyo...
Duh aiseee!! Lap yangu bana imepigwa na mafua kidogo, display imekufa, so coz ina warrant basi nimeisafirisha kidogo, so kwa sasa Napata shida kidogo kuingia JF hasahasa hili jukwaa letu.
Anyway...
Wataalam kuna hii ki2 huwa najiuliza sana.
Ikiwa sim,modem zile ambazo huwa zina2mia line moja wataalam huwa wanaziflush (unlock/chakachua) na kuanza ku2mia line zote.
Swali langu je kwa...
A newfound comet defied long odds on Thursday (Dec. 15), surviving a suicidal dive through the sun's hellishly hot atmosphere, according to NASA scientists.
Comet Lovejoy plunged through the sun's...
Habari zenu wana jf,
Ebana wakubwa mi nina tatizo katika mashine yangu aina ya Dell latitude x300,nimenstal OS ya Ubuntu 10.04 tatizo ni kwamba tangu niweke os hii spika kubwa ya mashine yangu...
yeeeeah huu ndo ukweli kolibri operating system ina mb 1.4 tu na inaweza hata kuingia kwenye flopy ya babu yako hehehe.....
Imetengenezwa na menuet os na zipo version 2 kama hujui moja ina 1.4mb...