white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,316
- 13,282
niliweka applicatioo ya theftaware(find me) kwenye simu yangu,na ikawa inafanya kazi vizuri cha ajabu kuanzia jana,hata bila kubadilisha simcard inatuma s ms ovyo tu,wakati ilitakiwa ifanye hivyo pindi ukiweka simcard nyingine!hivyo salio linakwisha tu!nimejaribu kui ondoa inaonekana imetoka lakini bado inatuma sms tena!!je nikienda kuiflash tatizo hili litakwisha?