Katika maandalizi ya kuukaribisha mwaka fulani, uongozi wa vodacom uliwahi kuahidi kuwa, ndani ya mwaka uliokuwa ukikaribishwa wangekuja na huduma mpya ya kuchaji simu kupitia mtandao. Kwa walioisikia mnaikumbuka hii taarifa.Kwa anayefahamu, suala hili liliishia wapi? Je, tuamini kuwa ilikuwa ni siasa maana Tanzania yetu imeingiliwa na siasa katika kila nyanja?