For our budding 3D artists and advertisement professionals, please see what can be achieved using zero cost software.Red Color | BlenderNationCompany writes: Made with Blender 2.6, GIMP and...
nina gari used toyota cresta.sehemu ya kupimia engine oil mara nyingine hukuta imechafuka kwa oil na maeneo yote kuzunguka hapo, pia naweza kuikuta dip stick imejivuta kwa juu,(kama...
habari kwa wotewana jf mimi simu yangu ni yanokia kila ninapo nunua memorycard bt baadaya kudownload nyimbo kuna faili linavyo andika imgchae sasa nifanyeje au ndo virus?
Wakuu naomba kama kuna mtu anayo driver softwere ya hii photocopy machine aina ya HP LASERJET 1320 au link ambayo naweza pata driver zake naomba anisaidie nimefomat computer nikataka kurudishia...
Computer yangu ni Dell intel p 4,RAM 640,PRO.2.40GHz WIND.XP2 nikipiga nyimbo in high volume computer inastuck kila kitu kinasimama, kasa haitembei mpaka niizime.NAOMBA MSAADA
Salaaam Wakuu wa Jf technology
Mnaonaje tujaribu kufanya reseach binafsi ya kutafuta taarifa na matumizi ya number ya dharula kwenye makampuni ya simu za mkononi na vyombo husika(Serikali)...
Wakuu nawakaribisha kwa Mjadala wenye lengo la kueleimishana Mambo mbalimbali yahusuyo Technolojia ya Mawasiliano. Leo nimeona nirushe Swali ambao wengi huwa wanalijibu kimakosa na walimu wao...
Habarini wakuu..
Naombeni tusaidiane hapa kwa wenye uelewa na hivi vitu,.
Ni namna gani nitaweza ku unlock sim hii niweze kutumia mitandao mingine tofauti na tiGo.
kila ninapoweka line nyingine...
Wakuu 21st Jan. CAN ndani ya nyumba, vipi kuna mwenye idea ni channel gani ya hapa nyumbani itakayoonecha mechi zote.Hapa nililipo ni siku nne sasa sipati Star tv kwenye dish, karibu mwezi sasa...
hey wajeda hamjambo?? Trick mpya hii ya kupata credit za skype zenye thamani ya euro 1
unachotakiwa kuwa nacho ni computer na internet halafu fata process hizi
KWANZA: nenda...
Habari wataalamu,
jioni hii nimenagusha simu yangu Blackberry 8520 ikatoka battery, baada ya kuweka battery na kusubiri kwa muda simu haikuwaka badala yake ikaja screen nyeupe na message isemayo...
Leo asubuhi nimepokea email ambayo I'm pretty sure ni spam(+ilikuwa kwenye spam folder). Email yenyewe hii hapa:
Hello My Dearest One
Hello this is Joy who contacted you before at...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.