Mkuu heshima kwako.
Naomba niulize ni kwa jinsi gani naweza kufanya installation kwa komputer 100 concurrently coz kuna dili ya siku moja nimepata hivyo waujanja yanahitajika ili niweze pesa...
Yani leo nimekutana ya website ya ajabu, yani sijui kama this organization wana mtu wa IT na kama yupo he is a total disgrace to the IT community!! Hii hapa chini ndio webpage yao yani sijaedit...
Nimedownlowad movie yangu lakini nimeshindwa kuiplay kwani inataka funguo (password) ili kupata accsess, tafadhali mwenye maujanja ya kuivunja anijuze. Nitashukuru.
kwa wakuu wanaotumia hii torrent downloader, napenda kuwapa username yangu :chavinski na password: frosty75, kwaajili ya fast downloads. nina cheo cha leutenant so inasaidia kudownload fast. enjoy...
Wale mnaotumia opera mini kwenye simu zenu, Opera Software ASA wametoa opera mini 7 kwa ajili ya java na blackberry phones. Hii ni upgrade ya opera mini 6.5. Awali walitoa opera mini next ambayo...
Wadau za weekend
Siku za nyuma kidogo niliwahi kuona pahala kuwa kuna configuration ambazo waweza kufanya kwenye simu yako ili hata ikiibwa utaweza kutress na kijua ni nani anatumia simu yako kwa...
Habari wadau
tatizo langu katika laptop ni driver ya VGA kila niki install hiyo laptop inakuwa nzito sana na inaanza kuganda lakini nikiitoa inakuwa nyepesi please nifanye nini ili niweze ku...
wakuu file zangu zote ambazo ziko kwenye folder zimeingiliwa na file linaitwa desktop i.i ambalo zinafanya folder kuonekana tofauti, msaada wa jinsi ya kuliondoa
Wakuu salaam kwenu. Naomba msaada namna ya kuunganisha Zantel modem kwenye mac (OS 10.7 Lion). Nilijaribu kutumia maelezo kutoka pasamio.com "Getting ur Huawei modem working with Mac OS X Lion" na...
my fellow great thinkers, natumia laptop aina ya Toshiba juzi kati kuna mtu aliiomba kwa masuala ya kazi si unajua Serikalini bwana kuna baadhi ya maeneo ya kazi kama yetu resource kama computer...
Tommorow, the world will witness a rare phenomena when planet venus transits across of the sun.this is the seventh time this is happening since 1610.
The next time this will happen will be...
Naomba msada watalaam,
nimedesign website kwa kutumia Frontpage nimeenda ku host lakini picha hazidesplay,siku zote natumia Dreamweaver
lakini zamu hii nikataka kuijaribu frontpage sasa picha...
Tangu wakuu wa JF kubadilisha baadhi ya mambo hapa jamvini, wamebadilisha pia na mifumo iliyokuwa imezoeleka na haisumbui wateja lakini pia wameingiza vitu vipya vinavyosumbua watumiaji wa jukwaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.