wakuu,
imezoeleka mtu anapoformat computer, hata kama alizifuta data zake zote, lakini akifanya back up, data zote anazipata. swali la kujiuliza, unapofuta, data hizo zinaenda wapi?
na kama data...
Habari zenu wakuu. Naomba mnisaidie nina shida ya kufungua inbox sms kwenye simu ya sony ericson P990i. Kila nikifungua inanipa ujumbe wa "APLICATION CLOSED" reason code 130.
I recently got a page which sells mobile phones in UK and quite frankly the prices are a bit scary so i wanted to know if anyone has already tried buying and succeeded because you have to pay...
Wadau wa Science on JF,naomba kwa anaeweza anisaidie hili,Nina simu ya BlackBerry,sasa tatizo lake ni kua nikijiunga na bundle ya internet zile service books haziingii katika simu after...
There could be many reasons why youd want to troubleshoot your computer, well, one actually and thats because something is not working right. The process of troubleshooting is something you...
Heshima kwenu wataalam,
Mimi nimekuwa nikijaribu in vain muda wote kudownload watsapp application kwa simu yangu LG X330T..nikaambiwa eti watsapp haikubali kwa simu za java.
Je,hadi sasa...
Salaam wadau
Kama swali linavyojiuliza...eti information ambazo ume-burn kwenye CD zinaweza kuwa-attacked na computer viruses, naomba elimu kwenye hili!
jaman mm leo katika kuperuz in different blogs nkaona hii kitu. Kuna anae ifahamu hii !
[okkomadewal.com/2012/06/change-your-desktop-as-3d-shock-desktop.html?m=1]
:ranger:
Mkuu heshima kwako.
Naomba niulize ni kwa jinsi gani naweza kufanya installation kwa komputer 100 concurrently coz kuna dili ya siku moja nimepata hivyo waujanja yanahitajika ili niweze pesa...
Yani leo nimekutana ya website ya ajabu, yani sijui kama this organization wana mtu wa IT na kama yupo he is a total disgrace to the IT community!! Hii hapa chini ndio webpage yao yani sijaedit...
Nimedownlowad movie yangu lakini nimeshindwa kuiplay kwani inataka funguo (password) ili kupata accsess, tafadhali mwenye maujanja ya kuivunja anijuze. Nitashukuru.
kwa wakuu wanaotumia hii torrent downloader, napenda kuwapa username yangu :chavinski na password: frosty75, kwaajili ya fast downloads. nina cheo cha leutenant so inasaidia kudownload fast. enjoy...
Wale mnaotumia opera mini kwenye simu zenu, Opera Software ASA wametoa opera mini 7 kwa ajili ya java na blackberry phones. Hii ni upgrade ya opera mini 6.5. Awali walitoa opera mini next ambayo...
Wadau za weekend
Siku za nyuma kidogo niliwahi kuona pahala kuwa kuna configuration ambazo waweza kufanya kwenye simu yako ili hata ikiibwa utaweza kutress na kijua ni nani anatumia simu yako kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.