Tuna kikundi cha kusaidiana na tuko katika mpango wa kukopeshana.Sasa wanaumoja wanataka kikundi kiwe na utunzaji wa data zote za chama wa kisasa( kutumia computer). Sasa basi nimeona nijaribu...
Quashing myths about old people smell, research finds we can tell peoples ages from their smell, and that younger people smell worse Old people do have a distinct smell, but contrary to...
Microsoft Office Gets KiSwahili Language Pack
Microsoft's Office Pro 2007
Microsofts Local Language Program recently launched the KiSwahili Language Interface Pack (LIP) for...
wadau naomba msaada wenu mimi natumia simu aina ya nokia x2, na nimefanikiwa ku'download na ku'install operamini 6.5. Bt am not impressed rather i prefered to download ucbrowser na TATIZO NDIPO...
Helow greaters, huwa watu wanaweka misaada mingi humu, mi nae cna uchoyo, kwa wale wenye cm download browser inaitwa UCbrowser...ukiisha iweka fungua homepage, then nyuma ya chata ya facebook...
Hamna haja ya kuhangaika na Ad-Hoc tena. Pia unaweza share kama Wi-Fi Access Point kama una w7 na inafanya kazi na Adroid phones pamoja na Blackberry. So hamna haya ya kupoteza hela kununua Mifi...
Habari zenyu wana jamii kama kawa nimekuja na vitu ni share na wanajamii wenzangu nimeona ili tatizo hau hii kitu kimetesa sana watu sana
sana walionunua modem za tigo hivi karibun na kutaka ku...
wadau naombeani msaada wa kupata Display ya TOSHIBA satellite L500 ya inch 15.6. kama unayo ww au unaweza kunipa mwongozo napoweza pata hapa DSM itakuwa poa. Call 0714472920
Probably and just not necessarily true lakini ni notion ambayo, labda kwa uvivu tu au kutokutaka kushughulika, vijana (sio wote) hasa wanafunzi wa Kiafrika wanayo. There are those who argue that...
Nina camera yangu aina ya Nikkon lakini nikipiga picha haziendi kwenye memory card, pia haitoi flash light..
Naomba kwa anayejua anisaidie nifanye nini..
Habari jf,
Ningependa kujua kama kuna mtu ana habari juu ya nini kinaendelea huko katika yahoo kwani ni wiki sasa haitaki kuniruhusu ku sign in, kuna mwingine ana-experience the same au ni mimi tu?
Wataalamu naomba mnisaidie hili, hapa ofisini mi natumia computer HP with window 7,shida yangu ni kupata recent documents za WORD ambazo nimezifanyia kazi karibuni, labda jana tu jioni. Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.