Nina windows XP ambayo natumia ku-install kwenye PC yangu ambayo intel 32bit processor. sasa nimenunua computer nyingine ambayo proccessor yake ni AMD 64bit mobile. Je naweza kutumia hiyo windows...
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia uwepo wa magezeti ya Tanzania kwenye "Internet" kwa zaidi ya Miaka 10 na zaidi sasa - Na mimi ni mmojawapo wa wa-Tanzania wa kwanza kuchapisha gazeti moja...
Scary New Banking Scams
By John Fitzsimons
Scammers have developed a new way to control your computer remotely. And that can only be bad news for your bank balance.
It sounds like something...
Kuna jamaa yangu ameniomba nimtafutie ushauri wa msaada kwani ana gari yake Toyota Liteace Noah 1998cc,wakati anainunua mwaka jana ilikuwa inakula lita moja ya petrol kwa kilomita 9,sasa hivi...
Ahhh nimeandika lipost likubwa likagoma ku-post!
Anyway naona kuna Google Developer Day ya Uganda na ya Kenya zinakuja, TZ zero!
Pia kuna Apps4Africa competition naona kuna Rwanda event na Kenya...
wazo limenijia
Huku shamba kwetu watu wanasumbuka sana na NET, nimewaza kuanzisha huduma ya WI-FI, lakn i know next to nothing kuhusu masuala ya network! wataalam na gurus nisaidieni, ni vitu gani...
I posted something earlier. Something to remind us that we are not as safe as we think, whenever we go online at public WiFi hotspots. Sometimes, even on the not so public internet or data...
Wadau, kuna mshikaji kanitembezea N97, anasafiri na anahitaji pesa urgently. Simu ni mpya haina hata mwezi. Problem ninashindwa kun'gamua kirahisi kama ni original au ya kichina kwa kuwa label...
Dear Sir/Madam,
Please could you spare a few minutes of your time to complete this survey.
To participate please click the link below or copy it into your web browser and if you find that the...
About that deal Facebook announced last month with MOL Global to have the Friendster parent distribute Facebook Credits through its own network... Turns out it was part of a larger...
Nimeona request ya Prof. Mwamila kupitia post ya mdau mmoja hapa kwenye JF. Ninamshukuru sana kuileta hapa JF.
Hii kweli inasikitisha sana, anyway, sie ndo wana FoE tuliopigania umoja na undugu...
Kuna mtu sitaki kuona picha yake kwenye internat, inawezekana na wewe anakukwaza ukimuona, Najua Virus ni mbaya kwa computer yangu but ningependa huyu jamaa awe virus kila niingiapo kwenye...
Source: AfroIT
Je una akaunti ngapi za google? Inakuwaje endapo mtoto,mke au rafiki yako anataka kutumia google
akaunti yake kwenye kompyuta yako bila kutoka kwenye akaunti yako? Google...
Ndugu,Naombeni msaada wakulekebisha PC, hii PC ni Tablet PC ila haifanyikazi kama Tablet PC inavyotakiwa kufanya Kwa Mfano Kalamu yake haiandiki,screen uki rotating haibadiliki. naombeni msaada...
Josh Halliday
guardian.co.uk News Wed 4 Aug 2010 12:13 BST
Suggestion that Indian government could be granted access to data to prevent ban 'unfounded', says Research in Motion
The company...
Kipindi - Maisha na Teknohama Sheria Mtandao ( Jumapili Hii )
Ndugu zangu
Napenda kuwakaribisha katika kusikiliza Kipindi cha Maisha na Teknohama Jumapili hii kuanzia Saa 3 Asubuhi mpaka...
How on Earth do you decide which TV should take pride of place in your living room?
A good start is looking out for the European standard logo with "HD Ready" which guarantees your display is...
Habari wakuu na wana jf kwa ujumla poleni na mihangaiko
naomba kujua jinsi ya ku install wireless ya cisco katika win xp pro kwani ilikuwepo ghafla imetoweka na kwa upande wa internet msihofu...
Wanajamvi wenzangu.
Kwa nini TTCL inashindwa uwa ISP No 1 nchini tena wa BROADBAND ya uhakika na bei nafuu?position yao kwenye Market share ya voice communication iko chini. Let assume kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.