Nguchiro
JF-Expert Member
- Nov 23, 2009
- 364
- 31
my fellow great thinkers, natumia laptop aina ya Toshiba juzi kati kuna mtu aliiomba kwa masuala ya kazi si unajua Serikalini bwana kuna baadhi ya maeneo ya kazi kama yetu resource kama computer ni bidhaa adimu kanirudishia nikataka kutumia Web Camera inagoma, picha haipigi, hata nikitaka kuwasiliana na watu kama zamani inagoma, help needed pliz