Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

wadau nmekumbuka sana v2 nlivyofanya ile cku ya kwanza nakumbuka nlitumia windows 95 ku paint ua je wadau wengine hivi siku ya kwanza mlitumia computer kufanyia ki2 gan?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
kwa wake watumiaji wa startime naona wameamua kuiweka ubc free maana hata kale ka symbol$ wamekaondoa,pia nimejaribu kuondoa hata kadi bado inafanya kazi.pia wametangaza kuongeza channel ya atn...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Eee Bwana nimeshangaa kweli kukuta JF iko kwenye Android, Nilijaribu kubahatisha tu mara hii hapa! Nimejaribu kuitumia kwenye Galaxy yangu inafanya fresh japo kuna machache ya kurekebisha, mara...
0 Reactions
0 Replies
974 Views
Africa's first 4G LTE network in the 800MHz frequency band to deliver services such as videoconferencing and multi-user Internet gaming in Dar es Salaam, with plans for expansion during 2012...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Jamani, kamchina kangu ka xpres music orijinal,teh nikijaribu kuingia net,kanaandika "error/java/lang/error rtatic initializer: Java/lang/runtime exetption/RMS ERROR Error while...
0 Reactions
2 Replies
781 Views
Star TV wametangaza kuanza mwezi wa tisa kurusha matangazo yao kwanjia ya Digitali. Si tujiandae kwa lipi, najiandae kuachana na lipi.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadai anayejua software ya blackberry ambayo naweza ku-subscribe kwenye rss feeds kama jamiiforums naomba anisadie..Nimejaribu kudownload kadhaa naona nikiweka url ya jamiiforums naambiwa...
0 Reactions
4 Replies
990 Views
Simu yangu ni sumsung GA867 nataka kuacces airtel internet lakin mpaka usave katka browser profile! Ya tigo nimeweka znakubali vizuri lakini ya airtel sizifahamu! Anayezifahamu browser setting za...
0 Reactions
0 Replies
673 Views
Naomba kujuzwa simu kali za zilizo kwenye chat kwa sasa maana nimeambiwa ni bb torch na sumsung galax je ni kweli? Na kama kweli ni ipi bomba zaidi. Asante.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Baada ya kuinunua kampuni ya Meebo, Google wameamua kusitisha huduma zake za Meebo Messenger. Huduma zitafungwa rasmi July 11th 2012, hii ni pamoja na Mobile Apps zote za Meebo...
0 Reactions
0 Replies
751 Views
Ngugu, poleni na majukumu yenu yanayowakabili kila siku. Naomba msaada wa cd key au any genuine key ya windows 7. Napata taabu sana kila siku natumia windows 7 loader na Remove WAT lakini kila...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau nlikua naomba msaada hv dekoda gani ni nzur nataka nkamate chanel nyingi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WhatsApp Vs Kakaotalk Vs Skype.... Hapa naona Kakaotalk wins.. Kali vibaya, feature iliyobaki ni videocall
0 Reactions
1 Replies
721 Views
Ninatumia Euro sola '14 Ila tangu jana naona usiku haikamati stesheni hata moja. Labda chanzo kinaweza kuwa nn ndugu?
0 Reactions
3 Replies
856 Views
Wengine mtasema niende course, nasema hapana, nataka nijue kujiunga na hawo watoa .com, au .tz n.k siasa jamani hapana
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wadau hii huwa inanisaidia kwani inaplay files za aina zote, tatizo ni kwamba niki install, program mpaka file zote zinafunguka na vlc...mpaka nikifungua browser inafungukia kwenye vlc player. Je...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
wadau nadhan weng mmemaliza f6 na wengi humu hata hamkufikiria kuigusa pgm mana mlijua ni kombi kiboko hivi had saiz kuna kombi ngum kama pgm n.b nimepiga eca koabi rahc WADAU NAITAJI FEEDBACK
0 Reactions
75 Replies
14K Views
wadau kuna ka software kana uwezo wa kui tunnel internet connection yako unavyotaka mwenyewe. ina support host TCP na UDP protocols. unaweza ku bypass firewall na restrictions. wanatoa 15 days...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
hii ni new messenger kama watsap na nimbuzz sema imeongezeka features kidogo. Ina vitu muhimu vi tatu mpaka ikanivutia kuipost hapa jamii forums 1. Utatuma message na kupiga simu bure kwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari yenu wadau! Natafuta kifaa kinaitwa "CABLE MODEM"... Nimejaribu kuzunguka maduka kadhaa kwa hapa Dar; but nobody has it or even seem to know it... Nimeweka picha ya hiyo device hapo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom