Brothers one day nilikwambieni abt my Mobile application,Ina uwezo wa kutuma ujumbe kwa watu wengi kupitia kwenye simu za mikononi, unaweza tafuta Company au any Organization ambayo unadhani wanaweza wakaihitaji service hii then ktk kila sms moja watakayo tumia utapata pesa kulingana na makubaliano yetu. Siyo ishu ndogo we did the same deal kwa watu wa TUWASA(Mamlaka ya Maji Tanga). Kwa kawaida tunashare any opportunity inayojitokeza, mana mafanikio ktk kila kazi yanakuja kwa kushirikiana!