Get money frm this mobile application

Mputi

Member
Sep 9, 2011
52
7
Brothers one day nilikwambieni abt my Mobile application,Ina uwezo wa kutuma ujumbe kwa watu wengi kupitia kwenye simu za mikononi, unaweza tafuta Company au any Organization ambayo unadhani wanaweza wakaihitaji service hii then ktk kila sms moja watakayo tumia utapata pesa kulingana na makubaliano yetu. Siyo ishu ndogo we did the same deal kwa watu wa TUWASA(Mamlaka ya Maji Tanga). Kwa kawaida tunashare any opportunity inayojitokeza, mana mafanikio ktk kila kazi yanakuja kwa kushirikiana!
 
Yap kuna dogo anafanya project na alikuwa anataka kufananya mobile application(Billing system)......na hajui wapi aanzie please unaweza kunitumia SRS ya hiyo Application ili kama vp anaweza kutokea hapo hapo....But kama kuna demo please let me know.

I will appreciate u'r Response!
 
Yap kuna dogo anafanya project na alikuwa anataka kufananya mobile application(Billing system)......na hajui wapi aanzie please unaweza kunitumia SRS ya hiyo Application ili kama vp anaweza kutokea hapo hapo....But kama kuna demo please let me know.<br />
<br />
I will appreciate u'r Response!
<br /> Thats gud,Demo ipo bro if you want to know how the application works
<br />
 
Brothers one day nilikwambieni abt my Mobile application,Ina uwezo wa kutuma ujumbe kwa watu wengi kupitia kwenye simu za mikononi, unaweza tafuta Company au any Organization ambayo unadhani wanaweza wakaihitaji service hii then ktk kila sms moja watakayo tumia utapata pesa kulingana na makubaliano yetu. Siyo ishu ndogo we did the same deal kwa watu wa TUWASA(Mamlaka ya Maji Tanga). Kwa kawaida tunashare any opportunity inayojitokeza, mana mafanikio ktk kila kazi yanakuja kwa kushirikiana!


nnipo interested nayo, naweza kuwa mwekezaji napatikana 0655 308308, email.com: cerengeti@gmail.com
 
Back
Top Bottom