Habari wakuu,
Nina simu aina ya Tecno T8. Nilikuwa nasikiliza miziki kutoka simu hii kwenye car stereo. Nashangaa baada ya matumizi hayo ile alama ya "Headset" haikupotea mpaka sasa na imepelekea...
One of the most complicated missions ever attempted by NASA, the landing of the one-ton rover Curiosity inside a crater on Mars after a 500 million kilometer journey, has apparently gone without a...
The Mars science rover Curiosity landed on the Martian surface shortly after 10:30 pm Pacific US time on Sunday (0530 GMT) to begin a two-year mission seeking evidence the Red Planet once hosted...
Nina .aspxpage.
Page in ListView control ambayo inaoesha majina ya nchi mbalimbali(nchi zipo stored kwneye database).
Kila jina la nchi,lipo ndani ya anchor kama hapo chini.
<a>Country</a>
Nataka...
A computer engineer checks equipment at an internet service provider in Tehran.(REUTERS / Caren Firouz)
Tehran plans to remove its key ministries and state bodies from the Internet next month...
Wakuu salam.
Wakuu kuna kampuni yetu inataka kufungua website yake, naomba kwa wataalam tuwasiliane kwa PM, eleza gharama zote including hosting. Asanteni
Wakati sisi tunasumbuliwa na mambo madogomadogo kama njaa na malaria, wenzetu wanafanya uchunguzi kwenye sayari zingine, angalia link hiyo hapo chini.
NASA's Robot Lab Curiosity Nears Mars -...
Wana JF naombeni mnijuze tofauti ya status hizi katika usajili wa vyuo vikuu hapa Tanzania:
Full registration and Chartered
Full Registration
Accredited
Accredited and Chartered
Watalamu najaribu kuweka bandle kwa ajili ya internet kwenye line ya Airtell toka jana inasema failed ile ya *154*44# jamaa wa customer care hawaeleweki msaada tafadhali
Napenda kuwaalert wale wasiohua kuwa Microsoft wamephase out Window XP yani sa hivi unayoweza kutumia at least ni SP3 so ukiona msg kwamba the s/w is invalid usishangae hamia kwingine.
Wakuu poleni na uchovu wa siku, natumaini kila mmoja humu yupo mzima wa afya na kama yupo anayeumwa basi tumwombeeni aweze kurudi hali yake ya mwanzo. Wakuu mimi ninatatizo la kutoelewa ni njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.