Hello bosses and roses....
"Security by obscurity" is for cowards, kwa sababu inaprove kwamba kuna loopholes nyingi na rahisi kupatikana kwenye hio system endapo nitajua au kuweza kufikia...
Kampuni ya Samsung iliachia simu ya Galaxy A14 iliachiwa January 12 2023 ni simu nzuri ya bei nafuu yenye muonekano mzuri kuanzia kioo ,kamera, software update support ila utendaji wake wa Kazi ni...
Hellow wakuu za nyakati hizi
Naomba mwenye ujuzi wa jinsi ya kupata namba za nchi za nje kwa ajili ya kujiungia whatsapp
Niliwahi kutumia primo app kwaajili ya kupata namba ya marekan lakini sasa...
Kwa wale wasio na mambo mengi mfano wanaandaa tu ripoti ya mauzo excel inawafaa lakini utawakuta kuna hawa wafanya biasahra wana mafaili kibao ya mauzo, madeni, stock, matumizi, n.k. bado...
The two engine types are quite different however. While both have similar internals, the big difference is the way the fuel is injected into the engine.
With the VVTI engine, fuel is injected into...
http://youtu.be/hHhPmRHvMRI
Unit- 1
Website ni kitu gani ?
Kwa tafsiri ya haraka haraka tunaweza kusema kuwa website ni mahali panapotumika kuhifadhi webpage moja ama zaidi. Hii elimu inaweza...
Wakuu nilikuwa natumia yo whatsapp, nimepigwa ban kama inavyoonekana hapa chini.
Namba hii ni muhimu sana kuwa whatsapp.
Nitumie ujanja gani kuifungua?
Habari wadau,
Natafuta ruler za pica nimezunguka nimechoka sasa naomba msaada hz ruler unaweza kuagiza kutoka nje shida gharama sn adi ije ikufikie ni kama laki hivi nataka niitumie kwenye design.
Natafuta mtandao wa simu wenye upload na download latecy ndogo.
Kwenye local server uwe 80 ms na portland OR server (Century Link) iwe chini ya 250ms.
Chief-Mkwawa
Wakuu habari zenu.
Ndugu zangu nahitaji kufahamu kama laini za Airtel hazikubali kwenye simu ndigo ya kgtel maana nikiweka kwenye simu nyingine inakubali vizuri lakini nikiweka kwe simu tajwa...
Wataalam simu yangu imekataa kuondaa alama ya earphone. Hata nikichomeka earphone na kutoa bado alama hiyo haitoki. Hali hii imesababisha hata kukata sauti kwenye spika ya simu Ninaomba msaada...
Wakuu kwema?
Naombeni msaada jinsi ya ku update app ambayo nimepakua kupitia Google na sio Playstore.
App kama GB Instagram.
Msaada kwa anaefahamu.
Forgive me
Habari wakuu
Leo ningependa kuongea na wadau ambao wanapenda kufanya electronics.
Tufahamu kuwa technolojia inakuwa kila siku kwa speed kubwa sana lakini..
kitu kizuri ni kwamba katika kanuni...
Msaada wadau natafuta fundi Mzuri nasisitiza mzuri maana mafundi wa electronics "wengine" wabahatishaji.
Hivyo kama unafaham fundi anae jua kutengeneza hizi external hard drive Naomba anisaidie...
Wadau ivi kufungiwa whatsApp (ban) ni kutokufata zile sheria ZAO Au kuna kingine ,mana mm natumia whatsApp officiall ambayo ni whatsApp messager, juz waliniban nikawaomba walinifungilia nikazisoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.