kajojo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2012
- 2,938
- 5,431
Msaada wadau natafuta fundi Mzuri nasisitiza mzuri maana mafundi wa electronics "wengine" wabahatishaji.
Hivyo kama unafaham fundi anae jua kutengeneza hizi external hard drive Naomba anisaidie.
External nilizonazo zinawaka ukiziconnet ila hazisomi sio kwenye computer au kwenye TV.
Hivyo kama unafaham fundi anae jua kutengeneza hizi external hard drive Naomba anisaidie.
External nilizonazo zinawaka ukiziconnet ila hazisomi sio kwenye computer au kwenye TV.