The difference between Toyota VVTI and D4 Engines

regam

JF-Expert Member
Jan 4, 2011
269
51
The two engine types are quite different however. While both have similar internals, the big difference is the way the fuel is injected into the engine.
With the VVTI engine, fuel is injected into the inlet manifold to mix with the air prior to entering the combustion chamber.

In the D4 engine, fuel is injected under very high pressure into the combustion chamber itself (direct injection). During the combustion process, air is compressed and at a very precise moment fuel is injected directly into the combustion chamber. The idea behind this concept is to allow the engine to run leaner producing less emissions and lower fuel consumption.

In theory the D4 engine is very good and is an advancement on the VVTI however, history has shown it does not take much to upset the engine performance and issues such as surging, rough idle and engine stutter are not unusual.

Unfortunately these problems are not that easily sorted out with little product knowledge on these engines available within the industry. This often leads to expensive, unnecessary and time consuming repairs.

VVTI stands for "Variable Valve Timing Induction". This engine type is a lot more conventional and improves performance by optimising valve timing. It is a proven system, effective and very trouble free.

The D4 can be recognised by a large plastic cover over the engine with embossed D4 lettering. If I recall correctly, the VVTI engine has the lettering cast into the aluminium rocker cover on top of the engine.

Source: AA WEbsite
 
nimetaka kununua gari ambalo ni fuel efficient, high performance, and very comfortable, then I came accorss vehicles with D4 VVTI! Nilipoingia Jua kali huko Mtaa wa Lindi hapa DSM kwa mafundi nikifanya utafiti duh! Chaka! Mafundi wetu wote walilalamikia engene hii na kusema ina matatizo.

Ila nilijifunza jambo moja, sidhani kama kuna fundi anayerudi shuleni inapotokea technologia mpya ya magari. kwakuwa kwenye sources nyingine wameisifia sana hii engene. Muhimu inataka nidhamu ambayo kwa kawaida ni muhimu kwa mtu yeyote. Mda si mrefu akina mafundi wa mtaa wa Lindi watakuwa wamejua nini cha kung'oa na nini cha kuacha au kumodify kama kawaida yao.

I am just making an order next week for the vehicle with this particular engene. Na nimeshajua wapi wanafanya maintanance hizi, kwa wasomi. Ni gari zilizofungwa sensors ambazo hukujulisha hali ya vifaa vya gari kadri unavyotumia kukuhakikishia uslama, starehe na kudumu kwa gari lako.
 
VVT-i D4 = Variable Valve Timing with Intelligence D4
Toyota's new VVT-i D4 (D4 is short for "direct injection 4-stroke") engine has been improved by a small, but very effective new idea, that makes it 8% more efficient than the award-winning VVT-i engine. Petrol is now directly injected into each cylinder through a slit-like nozzle giving VVT-i D4 the following benefits:


  • Increased fuel atomisation for better combustion
  • Petrol no longer sticks to the injection port when starting cold
VVT-i D4 engines deliver:
  • Fewer harmful emissions
  • Lower fuel consumption
  • Higher power output


 
I see na mimi nakazia hapo hapo kwenye swali lako mfano kuna hizi GX 100 mafundi wengi wanasema ukipata yenye injini ya 1G kavu ni bomba kuliko VVT-I huwa wananichanganya sana !!!
 
haya sasa mi nauza gari yangu RAV 4 mafundi wa ilala wanaita kilitime engine yake D4. KAMA VIPI ni PM. tutaelewana.
 
nimetaka kununua gari ambalo ni fuel efficient, high performance, and very comfortable, then I came accorss vehicles with D4 VVTI! Nilipoingia Jua kali huko Mtaa wa Lindi hapa DSM kwa mafundi nikifanya utafiti duh! Chaka! Mafundi wetu wote walilalamikia engene hii na kusema ina matatizo. Ila nilijifunza jambo moja, sidhani kama kuna fundi anayerudi shuleni inapotokea technologia mpya ya magari. kwakuwa kwenye sources nyingine wameisifia sana hii engene. Muhimu inataka nidhamu ambayo kwa kawaida ni muhimu kwa mtu yeyote. Mda si mrefu akina mafundi wa mtaa wa Lindi watakuwa wamejua nini cha kung'oa na nini cha kuacha au kumodify kama kawaida yao.

I am just making an order next week for the vehicle with this particular engene. Na nimeshajua wapi wanafanya maintanance hizi, kwa wasomi. Ni gari zilizofungwa sensors ambazo hukujulisha hali ya vifaa vya gari kadri unavyotumia kukuhakikishia uslama, starehe na kudumu kwa gari lako.

Ni kweli kabisa unayosema mkuu, mafundi wengi wa kibongo hawapo updated na teknolojia mpya. Mimi natumia Toyota Opa yenye engine ya D4 mwaka wa tatu sasa haijaniletea matatizo yeyote. Tatizo kubwa tu nililowahi kulipata ni kuwa gari ilikuwa inakataa kukaa sailensi kama kwenye foleni hivi ilikuwa ikizima, muda wote ilikuwa inataka lazima niwe ninakanyaga accelerator hivyo nikiwa kwenye foleni ilikuwa ikinilazimu niweke neutral ili niwe ninakanyaga accelerator.

Nikahangaika sana kwa mafundi wa mtaa wa lindi, mikocheni, maomeni na kwingineko, walikuwa wakibahatisha mara waninunulishe plug, nosel, fuel pump na vitu vingine bila mafanikio. Lakini baada ya kusearch kwenye mitandao yenye forums mbalimbali za magari nikaja kukuta kumbe watu wengi walipata tatizo kama hilo kwa engine ya aina hiyo na solution kumbe ni kubadilisha air cleaner. Fasta nikaenda pale msimbazi kituo cha bahresa nikanunua air cleaner... baada ya kuifunga mpaka leo tatizo lile likawa limetokomea.

Sasahivi gari yangu inakaribia km 100,000 za milage, nilishakuwa na corolla yenye engine ya 5A ambayo imeandikwa wazi kabisa kuwa ibadilishwe timing belt kila baada ya km 100,000. Sasa kwenye Opa yangu yenye D4 sijaona hayo maandishi wala sehemu yenye hiyo timing belt, sasa nauliza je hilo ya kubadilisha timing belt pia linaaply kwenye engine ya D4? pia naomba hapo kwa mafundi wako wanaofanya mainternance hizi kisomi hasa isiwe wale wa DT DOBIE na Toyota Tanzania ambao bei zao wanaoweza kuzimudu ni ma STK, SU na DFP
 
Naomba kuuliza tofauti kati ya hii inaitwa 1G-FE Engine na Vvti,

Kiongozi kila aina ya engine ina code yake.

Mfano,
Engine za vvti ndio zinakuwa na code ya 1G na cc zake zinakuwa mara nyingi hazizidi 2000
Angalia verrosa.

Engine za d4 zinakuwa na code ya JZ1 au 2,
Zenye 1Jz huwa na cc 2400
Zenye 2jz huwa na cc 2900
Angalia brevis na verrosa.

Engine nyengine zina code ya ya 3s,1az.

Ishu inakuja kwa mafundi wetu wa Kibongo ukimwambia akupe hizo tofauti inakuwa shida na ukitaka ushauri kutoka kwake atakwambia nunua 1G iwe kavu. Utaijuaje kavu, angalia bamba la nyuma utaona taa zake hazijaungana na buti. Basi inakuwa tafrani tu.
 
Ni kweli kabisa unayosema mkuu, mafundi wengi wa kibongo hawapo updated na teknolojia mpya. Mimi natumia Toyota Opa yenye engine ya D4 mwaka wa tatu sasa haijaniletea matatizo yeyote. Tatizo kubwa tu nililowahi kulipata ni kuwa gari ilikuwa inakataa kukaa sailensi kama kwenye foleni hivi ilikuwa ikizima, muda wote ilikuwa inataka lazima niwe ninakanyaga accelerator hivyo nikiwa kwenye foleni ilikuwa ikinilazimu niweke neutral ili niwe ninakanyaga accelerator. Nikahangaika sana kwa mafundi wa mtaa wa lindi, mikocheni, maomeni na kwingineko, walikuwa wakibahatisha mara waninunulishe plug, nosel, fuel pump na vitu vingine bila mafanikio. Lakini baada ya kusearch kwenye mitandao yenye forums mbalimbali za magari nikaja kukuta kumbe watu wengi walipata tatizo kama hilo kwa engine ya aina hiyo na solution kumbe ni kubadilisha air cleaner. Fasta nikaenda pale msimbazi kituo cha bahresa nikanunua air cleaner... baada ya kuifunga mpaka leo tatizo lile likawa limetokomea.

Sasahivi gari yangu inakaribia km 100,000 za milage, nilishakuwa na corolla yenye engine ya 5A ambayo imeandikwa wazi kabisa kuwa ibadilishwe timing belt kila baada ya km 100,000. Sasa kwenye Opa yangu yenye D4 sijaona hayo maandishi wala sehemu yenye hiyo timing belt, sasa nauliza je hilo ya kubadilisha timing belt pia linaaply kwenye engine ya D4? pia naomba hapo kwa mafundi wako wanaofanya mainternance hizi kisomi hasa isiwe wale wa DT DOBIE na Toyota Tanzania ambao bei zao wanaoweza kuzimudu ni ma STK, SU na DFP


Kiongozi hata mimi nimekuwa muoga na hizi engine za D4,binafsi kinachoniogopesha ni ukubwa wa cc ukilinganisha na zile za vvti. Watu wanasema usiogope ukubwa wa samaki, muhimu uliza bei,sasa kwa matumizi ya mafuta ikoje sio maumivu?
 
nimetaka kununua gari ambalo ni fuel efficient, high performance, and very comfortable, then I came accorss vehicles with D4 VVTI! Nilipoingia Jua kali huko Mtaa wa Lindi hapa DSM kwa mafundi nikifanya utafiti duh! Chaka! Mafundi wetu wote walilalamikia engene hii na kusema ina matatizo. Ila nilijifunza jambo moja, sidhani kama kuna fundi anayerudi shuleni inapotokea technologia mpya ya magari. kwakuwa kwenye sources nyingine wameisifia sana hii engene. Muhimu inataka nidhamu ambayo kwa kawaida ni muhimu kwa mtu yeyote. Mda si mrefu akina mafundi wa mtaa wa Lindi watakuwa wamejua nini cha kung'oa na nini cha kuacha au kumodify kama kawaida yao.

I am just making an order next week for the vehicle with this particular engene. Na nimeshajua wapi wanafanya maintanance hizi, kwa wasomi. Ni gari zilizofungwa sensors ambazo hukujulisha hali ya vifaa vya gari kadri unavyotumia kukuhakikishia uslama, starehe na kudumu kwa gari lako.

Kuna fundi alishawahi nambia kama unataKuimantain engine ya D4 inatakiwa uwe na nidhamu ya haliya juu na gari yako haswa kwenye kuweka mafuta na kufanya services. Hakikisha unaweka mafuta kwenye vituo vizuri usiwe unachanganya mara super,petrol mara unleaded.
 
Kuna fundi alishawahi nambia kama unataKuimantain engine ya D4 inatakiwa uwe na nidhamu ya haliya juu na gari yako haswa kwenye kuweka mafuta na kufanya services. Hakikisha unaweka mafuta kwenye vituo vizuri usiwe unachanganya mara super,petrol mara unleaded.
Mimi ninaedesha Toyota Hilux double cabin mwaka wa tano sasa sijui haya wanayoyasema, ila naamini D4 inatakauwe na discipline ya kuweka fuel kwenye pump zinazoeleweka. Hata hivyo bado ni engine nzuri tu, na tunakoelekea mafundilazima wajue gari ndio zitakuwa na hii mifumo.
 
Ni kweli kabisa unayosema mkuu, mafundi wengi wa kibongo hawapo updated na teknolojia mpya. Mimi natumia Toyota Opa yenye engine ya D4 mwaka wa tatu sasa haijaniletea matatizo yeyote. Tatizo kubwa tu nililowahi kulipata ni kuwa gari ilikuwa inakataa kukaa sailensi kama kwenye foleni hivi ilikuwa ikizima, muda wote ilikuwa inataka lazima niwe ninakanyaga accelerator hivyo nikiwa kwenye foleni ilikuwa ikinilazimu niweke neutral ili niwe ninakanyaga accelerator. Nikahangaika sana kwa mafundi wa mtaa wa lindi, mikocheni, maomeni na kwingineko, walikuwa wakibahatisha mara waninunulishe plug, nosel, fuel pump na vitu vingine bila mafanikio. Lakini baada ya kusearch kwenye mitandao yenye forums mbalimbali za magari nikaja kukuta kumbe watu wengi walipata tatizo kama hilo kwa engine ya aina hiyo na solution kumbe ni kubadilisha air cleaner. Fasta nikaenda pale msimbazi kituo cha bahresa nikanunua air cleaner... baada ya kuifunga mpaka leo tatizo lile likawa limetokomea.

Sasahivi gari yangu inakaribia km 100,000 za milage, nilishakuwa na corolla yenye engine ya 5A ambayo imeandikwa wazi kabisa kuwa ibadilishwe timing belt kila baada ya km 100,000. Sasa kwenye Opa yangu yenye D4 sijaona hayo maandishi wala sehemu yenye hiyo timing belt, sasa nauliza je hilo ya kubadilisha timing belt pia linaaply kwenye engine ya D4? pia naomba hapo kwa mafundi wako wanaofanya mainternance hizi kisomi hasa isiwe wale wa DT DOBIE na Toyota Tanzania ambao bei zao wanaoweza kuzimudu ni ma STK, SU na DFP

Ndugu hata na mimi nina hiyo OPA ilinisumbua sana ikawa inazima kwenye foleni , da niliahagaika sana mpaka nilibadilisha Nozeli ndo mambo yako safi mpaka leo . shida kubwa hatuna mafundi hizi gari.
 
nimetaka kununua gari ambalo ni fuel efficient, high performance, and very comfortable, then I came accorss vehicles with D4 VVTI! Nilipoingia Jua kali huko Mtaa wa Lindi hapa DSM kwa mafundi nikifanya utafiti duh! Chaka! Mafundi wetu wote walilalamikia engene hii na kusema ina matatizo. Ila nilijifunza jambo moja, sidhani kama kuna fundi anayerudi shuleni inapotokea technologia mpya ya magari. kwakuwa kwenye sources nyingine wameisifia sana hii engene. Muhimu inataka nidhamu ambayo kwa kawaida ni muhimu kwa mtu yeyote. Mda si mrefu akina mafundi wa mtaa wa Lindi watakuwa wamejua nini cha kung'oa na nini cha kuacha au kumodify kama kawaida yao.

I am just making an order next week for the vehicle with this particular engene. Na nimeshajua wapi wanafanya maintanance hizi, kwa wasomi. Ni gari zilizofungwa sensors ambazo hukujulisha hali ya vifaa vya gari kadri unavyotumia kukuhakikishia uslama, starehe na kudumu kwa gari lako.
Mkuu,
Hao mafundi wa D4 VVTi engines wanapatikana wapi kaka?
 
Ni kweli kabisa unayosema mkuu, mafundi wengi wa kibongo hawapo updated na teknolojia mpya. Mimi natumia Toyota Opa yenye engine ya D4 mwaka wa tatu sasa haijaniletea matatizo yeyote. Tatizo kubwa tu nililowahi kulipata ni kuwa gari ilikuwa inakataa kukaa sailensi kama kwenye foleni hivi ilikuwa ikizima, muda wote ilikuwa inataka lazima niwe ninakanyaga accelerator hivyo nikiwa kwenye foleni ilikuwa ikinilazimu niweke neutral ili niwe ninakanyaga accelerator. Nikahangaika sana kwa mafundi wa mtaa wa lindi, mikocheni, maomeni na kwingineko, walikuwa wakibahatisha mara waninunulishe plug, nosel, fuel pump na vitu vingine bila mafanikio. Lakini baada ya kusearch kwenye mitandao yenye forums mbalimbali za magari nikaja kukuta kumbe watu wengi walipata tatizo kama hilo kwa engine ya aina hiyo na solution kumbe ni kubadilisha air cleaner. Fasta nikaenda pale msimbazi kituo cha bahresa nikanunua air cleaner... baada ya kuifunga mpaka leo tatizo lile likawa limetokomea.

Sasahivi gari yangu inakaribia km 100,000 za milage, nilishakuwa na corolla yenye engine ya 5A ambayo imeandikwa wazi kabisa kuwa ibadilishwe timing belt kila baada ya km 100,000. Sasa kwenye Opa yangu yenye D4 sijaona hayo maandishi wala sehemu yenye hiyo timing belt, sasa nauliza je hilo ya kubadilisha timing belt pia linaaply kwenye engine ya D4? pia naomba hapo kwa mafundi wako wanaofanya mainternance hizi kisomi hasa isiwe wale wa DT DOBIE na Toyota Tanzania ambao bei zao wanaoweza kuzimudu ni ma STK, SU na DFP

Mkuu hao mafundi uliowasema hapo juu bei zao ziko poa kinoma. Watafute jumamosi na jumapili kwenye gereji zao kitaa ndo utajua nnalolisema. Mjini akili. Kijijini nguvu
 
Kuna fundi alishawahi nambia kama unataKuimantain engine ya D4 inatakiwa uwe na nidhamu ya haliya juu na gari yako haswa kwenye kuweka mafuta na kufanya services. Hakikisha unaweka mafuta kwenye vituo vizuri usiwe unachanganya mara super,petrol mara unleaded.

hili ni kweli kabisa. Nakubaliana na wewe 100 mia
 
Jamani mimi nimezipitia comment zenu zote na ukweli ni kwamba mmenifungua sana macho. Ninataka kununua "Toyota Premio, 1500cc" ila sina taarifa za kutosha na hii gari. Naomba anayejua matatizo ya hii gari anisaidie.


01w.jpg
 
Jamani mimi nimezipitia comment zenu zote na ukweli ni kwamba mmenifungua sana macho. Ninataka kununua "Toyota Premio, 1500cc" ila sina taarifa za kutosha na hii gari. Naomba anayejua matatizo ya hii gari anisaidie.


01w.jpg

Haina tatizo engine yake ni 5a ulaji wa mafuta ni mzuri na spea zake ni nyingi.
 
Jamani kwanza nimefurahi kukutana na hii topic..mimi nina VISTA Aldeo engen D4 lakini kiukweli inanitesa sana maana inakula mafuta sanaa..yaani inanipa shida..nifanyaje jamani??
 
Back
Top Bottom