RAJ SIMBA
Member
- Apr 26, 2020
- 15
- 9
Wadau ivi kufungiwa whatsApp (ban) ni kutokufata zile sheria ZAO Au kuna kingine ,mana mm natumia whatsApp officiall ambayo ni whatsApp messager, juz waliniban nikawaomba walinifungilia nikazisoma sheria zote sijui kutamia whatsApp official, kuapdate whatsApp, na mengineyo. Me nikaona isiwe tabu nikaifuta Namba yangu ya whatsApp kabisa lengo ni kuanza mwanzo, kweli Kila kitu kikafutika, nikaanza upya lkn ajabu leo tena umepigwa ban, yan nashangaa tatizo nini Au simu ndo tatizo Au kitu gani, kama simu natumia Oppo sa sijui na wenyewe inavunja sheria zao. Naombeni jamani tusaidiane kwa anayejua kwa kina masuala haya yan mpk nachoka.