Msaada, nimefungiwa kutumia WhatsApp

yello masai

JF-Expert Member
Jan 8, 2016
3,553
3,515
Wakuu nilikuwa natumia yo whatsapp, nimepigwa ban kama inavyoonekana hapa chini.
Namba hii ni muhimu sana kuwa whatsapp.
Nitumie ujanja gani kuifungua?


Screenshot_2023-08-09-11-15-51-612_com.yowhatsapp.jpg
 
Tumia app yao rasmi hizo GB whatsapp , Yo na FM whatsapp wanakupiga ban maksudi kabisa itafanya kazi baada ya muda wanakupiga ban ! Kama unataka kuamini kadownload app yao hapo hapo ukijisajili wanakutumia code !
 
Back
Top Bottom