Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
View attachment 2719893
Kampuni ya Samsung iliachia simu ya Galaxy A14 iliachiwa January 12 2023 ni simu nzuri ya bei nafuu yenye muonekano mzuri kuanzia kioo ,kamera, software update support ila utendaji wake wa Kazi ni wa mashaka ngoja tuone.
Samsung Galaxy A14 5G specs:
Processor MediaTek Dimensity 700
Display 6.6 FHD + LCD + 90Hz
Ram 8Gb + Storages 64Gb / 128Gb sd extended (1Tb)
Battery 5000mah
Front Camera 13mp f/ 2.0
Rear Camera 50mp + 2mp + 2mp
Support 5G, WIFI 5, Nfc
199 up to 200
Ndani ya Box
Ni simu yenye muonekano mzuri sana kwa ujumla ukiwa nayo unafurahia kwani imeundwa kwa mfumo wa Plastic sio glass. Gharama yake ni rafiki utaipata kuanzia shilingi 300k mpaka 450k.
Ubora wake unaanzia kwenye betri unaweza tumia mpaka siku mbili bila kuchaji Iko na Kasi kwenye kufungua program mbalimbali.
View attachment 2719897
Kioo chake ni kikubwa kiasi Kikiwa na mfumo wa LCD ambayo inakupa mwanga mzuri kwenye kuangalia kitu bila shida yoyote.
Kamera yake Iko poa unaweza vuta kitu mbali na kukipiga kwa ukaribu bila shida yoyote inatoa picha kali sana kwenye nyakati ya usiku pamoja na mchana
processor yake ni ya kawaida sana maana unaweza tumia muda mrefu ila sio nzuri kwa matumizi ya Game kwa matumizi ya kawaida ni nzuri maana performance yake Iko poa sana.
View attachment 2719896
Ina support android version 13 pia unaweza kupata update ya android version 14 na 15 zikitoka. speaker zake ni Mono yenye nguvu kiasi unaweza tumia tu.
Inaingia maji jihadhari ukiwa maeneo yenye mvua, inachukua masaa mawili na dakika 30 kujaa full kabisa, haijaja na chaji ndani ya Box Iko yenyewe tu.
Pia unaweza patq toleo jipya la Samsung Ui 6.0 ikitoka kwa Sasa Iko kwa watumiaji wa beta version kwa Samsung Galaxy s23 pekee.
View attachment 2719894View attachment 2719895
Kampuni ya Samsung iliachia simu ya Galaxy A14 iliachiwa January 12 2023 ni simu nzuri ya bei nafuu yenye muonekano mzuri kuanzia kioo ,kamera, software update support ila utendaji wake wa Kazi ni wa mashaka ngoja tuone.
Samsung Galaxy A14 5G specs:
Processor MediaTek Dimensity 700
Display 6.6 FHD + LCD + 90Hz
Ram 8Gb + Storages 64Gb / 128Gb sd extended (1Tb)
Battery 5000mah
Front Camera 13mp f/ 2.0
Rear Camera 50mp + 2mp + 2mp
Support 5G, WIFI 5, Nfc
199 up to 200
Ndani ya Box
Ni simu yenye muonekano mzuri sana kwa ujumla ukiwa nayo unafurahia kwani imeundwa kwa mfumo wa Plastic sio glass. Gharama yake ni rafiki utaipata kuanzia shilingi 300k mpaka 450k.
Ubora wake unaanzia kwenye betri unaweza tumia mpaka siku mbili bila kuchaji Iko na Kasi kwenye kufungua program mbalimbali.
View attachment 2719897
Kioo chake ni kikubwa kiasi Kikiwa na mfumo wa LCD ambayo inakupa mwanga mzuri kwenye kuangalia kitu bila shida yoyote.
Kamera yake Iko poa unaweza vuta kitu mbali na kukipiga kwa ukaribu bila shida yoyote inatoa picha kali sana kwenye nyakati ya usiku pamoja na mchana
processor yake ni ya kawaida sana maana unaweza tumia muda mrefu ila sio nzuri kwa matumizi ya Game kwa matumizi ya kawaida ni nzuri maana performance yake Iko poa sana.
View attachment 2719896
Ina support android version 13 pia unaweza kupata update ya android version 14 na 15 zikitoka. speaker zake ni Mono yenye nguvu kiasi unaweza tumia tu.
Inaingia maji jihadhari ukiwa maeneo yenye mvua, inachukua masaa mawili na dakika 30 kujaa full kabisa, haijaja na chaji ndani ya Box Iko yenyewe tu.
Pia unaweza patq toleo jipya la Samsung Ui 6.0 ikitoka kwa Sasa Iko kwa watumiaji wa beta version kwa Samsung Galaxy s23 pekee.
View attachment 2719894View attachment 2719895