Ndugu wataalam, nawasalimia sana.
Nimeformat SD CARD Ya CAMERA ambayo ilikuwa na picha nyingi muhimu na ningependa nizirejeshe. Nimepambana na recovery softwares nyingi za mtandaoni lkn zote...
Wadau naomba msaada nimeupdate kodi kutoka play store lakini kila baada ya muda kuna huu ujumbe unatokea,unfortunately,kodi has stopped tatizo ni mini!
From chief mkwawa
"Computer nyingi tunazonunua huwa zinatumia processor za intel au amd, lakini ni intel ambaye ametawala sana kushinda amd kwenye computer zetu. Leo nimeamua niandike uzi huu...
Nchi nyingi zinaweza kuona faida katika kujiunga na mfumo wa Starlink kutokana na sababu kadhaa:
1. Kufikia maeneo ya mbali: Nchi nyingi zina maeneo ya vijijini au ya mbali ambayo hayajafikiwa na...
Elon Musk hana ujuzi wa maswala yote yanayohusiana na mitandao ya kijamii kwasababu amekuwa na tabia za childish tangu awe mkurugenzi wa kampuni ya Twitter.
Kwa kawaida mtu anaponunua kampuni...
Wakuu nimepata changamoto katika Google pixel 6 yangu kama ifuatavyo; simu yangu baada ya kuifayia factory reset imeleta hio error.
Nimejaribu kuwa contact google kwenye email yao kama...
Habari wakuu,
Naombeni msaada wenu.
Nimenunua kisimbuzi cha antena cha Azam bila antena nimekuja nacho kibaha nikaunganisha kwenye antena.
Cha ajabu zinakuja channel za startimes na nimejaribu...
Watumiaji wa Whatsapp kwa upande wa beta version kuanzia Kwenye android, iOS na desktop muda sio mrefu wataweza kukutana na feature mpya ya Akili bandia Kwenye Whatsapp.
Kampuni ya Meta...
Kampuni ya apple inatoa toleo jipya la iOS 17 ili kuweza kutatua changamoto ya simu za iphone 15 pro kupata sana moto kupita kiasi.
Toka iphone 15 zilizopotoka watu wengi wamelalamika sana kuhusu...
Tanzania is the latest African country that is embracing the technological digital currency revolution as it shows some impressive growth, despite the small numbers.
In Africa, it is Kenya...
Kufikia jana Whatsapp za Tanzania zilianza kupokea updates mpya ya Channels, kwenye sehemu ya chini ya Whatsapp Status. Utakuwa na uwezo wa kupata Habari kupitia Channels utakazoamua kuzifollow...
Mvumbuzi wa Ghana [emoji1110], Danny Manu ametengeneza vifaa vya masikioni visivyotumia waya, vinavyoweza kutafsiri kiotomatiki zaidi ya lugha 40.
Wale Dj wa kutafsiri naona vibarua vimeshaota...
The US Department of Defense (DoD) is exploring the possibility of developing a large-scale network of AI-powered technology, drones, and autonomous systems to counter threats from China within...
Habari wakuu wa technology humu jukwaani naomba kujuzwa kuhusu hii simu nataka niichukue wiki hii, camera uwezo wake maana ni ya biashara na uwezo wa vitu vingine pamoja na changamoto zake
Sent...
Ukubwa wa simu yangu ni gb 32
Infinix hot 9 .
Nimejaribu kufuta kila kitu Sina video Wala picha yeyote lakini nikitaka hata kupiga picha tu inaniandikia storage full, naomba msaada wenu wa setting..
Simu za iPhone 15 & iPhone 15 pro ambazo zimeingizwa sokoni hivi karibuni zimelalamikiwa na baadhi ya watumiaji wake kuwa na msululu wa matatizo
Watumiaji wengi wa simu hizo toka kampuni kinara...
Hivi unajua Kuna bulb ambazo ni za kisasa unaweza ku control kupitia simu Yako kwa kufanya shughuli mbalimbali kwa urahisi Kwenye simu.
Moja Kati ya jambo zuri ni kuifanya nyumba Yako kuwa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.