Simu mpya za iphone zagundulika kuwa na changamoto kubwa

KISIWAGA

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
8,024
16,490
Simu za iPhone 15 & iPhone 15 pro ambazo zimeingizwa sokoni hivi karibuni zimelalamikiwa na baadhi ya watumiaji wake kuwa na msululu wa matatizo

Watumiaji wengi wa simu hizo toka kampuni kinara Duniani kwa utengenezaji wa simujanja wameeleza kuwa simu hizo mpya zina changamoto ya kutoa joto jingi kupita kiasi(zaidi ya sentigredi 46) hasa pale mtu anapocheza gemu kwa muda mrefu,pia simu hizo zimethibitika kuvunjika kirahisi sana tofauti na matoleo mengine ya nyuma.

Mpaka sasa bado haijawekwa wazi ni kipi kimefanya matoleo hayo mapya ya iPhone kuwa na changoto hizo kubwa ingawa kuna taarifa zisizo rasmi kuwa huenda matatizo hayo yatakuwa yamesanabishwa na materials ya titanium yaliyotumika katika utengenezaji wake

Katika kukabiliana na changamoto ya simu kutoa joto kupita kiasi(overheating),kampuni ya Apple wametoa sasisho(software update) ingawa watumiaji wengi wanahofia sasisho hilo litakwenda kupunguza nguvu ya processor
 
Wakati samsung note 7 inatoka na type C ilikumbana na janga zito,mpaka sasa bado haijafahamika hii tech ina athali kiasi gani.

Kuhusu joto pia bado haieleweki kama ni hii tech mpya ya type c.

Kimsingi ndio iphone ya kwanza kukumban na matatizo kutoka kwake kuliko yoyote,tutegemee na milipuko soon.
 
Simu za iPhone 15 & iPhone 15 pro ambazo zimeingizwa sokoni hivi karibuni zimelalamikiwa na baadhi ya watumiaji wake kuwa na msululu wa matatizo

Watumiaji wengi wa simu hizo toka kampuni kinara Duniani kwa utengenezaji wa simujanja wameeleza kuwa simu hizo mpya zina changamoto ya kutoa joto jingi kupita kiasi(zaidi ya sentigredi 46) hasa pale mtu anapocheza gemu kwa muda mrefu,pia simu hizo zimethibitika kuvunjika kirahisi sana tofauti na matoleo mengine ya nyuma.

Mpaka sasa bado haijawekwa wazi ni kipi kimefanya matoleo hayo mapya ya iPhone kuwa na changoto hizo kubwa ingawa kuna taarifa zisizo rasmi kuwa huenda matatizo hayo yatakuwa yamesanabishwa na materials ya titanium yaliyotumika katika utengenezaji wake

Katika kukabiliana na changamoto ya simu kutoa joto kupita kiasi(overheating),kampuni ya Apple wametoa sasisho(software update) ingawa watumiaji wengi wanahofia sasisho hilo litakwenda kupunguza nguvu ya processor
Yeah! Watu sio wajinga sasisho wanalotoa linaenda ku-optimize perfomance ya device ili software isiwe power angry..
 
Simu za iPhone 15 & iPhone 15 pro ambazo zimeingizwa sokoni hivi karibuni zimelalamikiwa na baadhi ya watumiaji wake kuwa na msululu wa matatizo

Watumiaji wengi wa simu hizo toka kampuni kinara Duniani kwa utengenezaji wa simujanja wameeleza kuwa simu hizo mpya zina changamoto ya kutoa joto jingi kupita kiasi(zaidi ya sentigredi 46) hasa pale mtu anapocheza gemu kwa muda mrefu,pia simu hizo zimethibitika kuvunjika kirahisi sana tofauti na matoleo mengine ya nyuma.

Mpaka sasa bado haijawekwa wazi ni kipi kimefanya matoleo hayo mapya ya iPhone kuwa na changoto hizo kubwa ingawa kuna taarifa zisizo rasmi kuwa huenda matatizo hayo yatakuwa yamesanabishwa na materials ya titanium yaliyotumika katika utengenezaji wake

Katika kukabiliana na changamoto ya simu kutoa joto kupita kiasi(overheating),kampuni ya Apple wametoa sasisho(software update) ingawa watumiaji wengi wanahofia sasisho hilo litakwenda kupunguza nguvu ya processor
Ukiachana na hiyo kuna mashindano kati iPhone 15 madr in china na ile made in India, wachina wakidai made in India ni za hivyo hadi wameanzisha how to identify a made in India iPhone😁
 
Simu za iPhone 15 & iPhone 15 pro ambazo zimeingizwa sokoni hivi karibuni zimelalamikiwa na baadhi ya watumiaji wake kuwa na msululu wa matatizo

Watumiaji wengi wa simu hizo toka kampuni kinara Duniani kwa utengenezaji wa simujanja wameeleza kuwa simu hizo mpya zina changamoto ya kutoa joto jingi kupita kiasi(zaidi ya sentigredi 46) hasa pale mtu anapocheza gemu kwa muda mrefu,pia simu hizo zimethibitika kuvunjika kirahisi sana tofauti na matoleo mengine ya nyuma.

Mpaka sasa bado haijawekwa wazi ni kipi kimefanya matoleo hayo mapya ya iPhone kuwa na changoto hizo kubwa ingawa kuna taarifa zisizo rasmi kuwa huenda matatizo hayo yatakuwa yamesanabishwa na materials ya titanium yaliyotumika katika utengenezaji wake

Katika kukabiliana na changamoto ya simu kutoa joto kupita kiasi(overheating),kampuni ya Apple wametoa sasisho(software update) ingawa watumiaji wengi wanahofia sasisho hilo litakwenda kupunguza nguvu ya processor
Mkuu nimenunua iphone mpya charger hamna mpaka sasa natafuta charger OG sipati.
 
Hakika sijaona bado

Yan sijaona jipya la kufananisha na nilipoingia IOS 17 yale mapya niliyoyaona, huku bado sijanotice.

Ila inadai imekuja kusolve inshu ya data transfer from another Iphone.


Ooh kumbe ngoja nitulize mshono.
Mpaka ninunue 15
IMG_1064.png
 
Back
Top Bottom