Simu za iPhone 15 & iPhone 15 pro ambazo zimeingizwa sokoni hivi karibuni zimelalamikiwa na baadhi ya watumiaji wake kuwa na msululu wa matatizo
Watumiaji wengi wa simu hizo toka kampuni kinara Duniani kwa utengenezaji wa simujanja wameeleza kuwa simu hizo mpya zina changamoto ya kutoa joto jingi kupita kiasi(zaidi ya sentigredi 46) hasa pale mtu anapocheza gemu kwa muda mrefu,pia simu hizo zimethibitika kuvunjika kirahisi sana tofauti na matoleo mengine ya nyuma.
Mpaka sasa bado haijawekwa wazi ni kipi kimefanya matoleo hayo mapya ya iPhone kuwa na changoto hizo kubwa ingawa kuna taarifa zisizo rasmi kuwa huenda matatizo hayo yatakuwa yamesanabishwa na materials ya titanium yaliyotumika katika utengenezaji wake
Katika kukabiliana na changamoto ya simu kutoa joto kupita kiasi(overheating),kampuni ya Apple wametoa sasisho(software update) ingawa watumiaji wengi wanahofia sasisho hilo litakwenda kupunguza nguvu ya processor
Watumiaji wengi wa simu hizo toka kampuni kinara Duniani kwa utengenezaji wa simujanja wameeleza kuwa simu hizo mpya zina changamoto ya kutoa joto jingi kupita kiasi(zaidi ya sentigredi 46) hasa pale mtu anapocheza gemu kwa muda mrefu,pia simu hizo zimethibitika kuvunjika kirahisi sana tofauti na matoleo mengine ya nyuma.
Mpaka sasa bado haijawekwa wazi ni kipi kimefanya matoleo hayo mapya ya iPhone kuwa na changoto hizo kubwa ingawa kuna taarifa zisizo rasmi kuwa huenda matatizo hayo yatakuwa yamesanabishwa na materials ya titanium yaliyotumika katika utengenezaji wake
Katika kukabiliana na changamoto ya simu kutoa joto kupita kiasi(overheating),kampuni ya Apple wametoa sasisho(software update) ingawa watumiaji wengi wanahofia sasisho hilo litakwenda kupunguza nguvu ya processor