Clear junkUkubwa wa simu yangu ni gb 32
Infinix hot 9 .
Nimejaribu kufuta kila kitu Sina video Wala picha yeyote lakini nikitaka hata kupiga picha tu inaniandikia storage full, naomba msaada wenu wa setting..
Ahsate sana
Havuki chochote heri aingie setting afute caches kwenye apps anazozitumia sana na nyengine afute data kabisa na ambazo hazitumii afute kabisa.. ila yote kwa yote abadili simu aje hata Huawei angalau atulize komwe..😅
Uchumi wake unaujuaIpo siku itakuandikia "no memory" badili simu acha mambo ya ajabu mkuu
Viator vinatofautianaIpo siku itakuandikia "no memory" badili simu acha mambo ya ajabu mkuu
Siujui lkn kama ameweza kumiliki hiyo anaweza uza huko akaongeza kidogo akatoka hapo..
KENZY kubadili simu sio jambo la mchezo ujue.. Simu standard kwa viwango vyetu bongo si chini ya 500kHavuki chochote heri aingie setting afute caches kwenye apps anazozitumia sana na nyengine afute data kabisa na ambazo hazitumii afute kabisa.. ila yote kwa yote abadili simu aje hata Huawei angalau atulize komwe..
Simu nyingine za urithi nyingine za zawadi kuuza ni ngumu na kuna baadhi ya watu si wa kupenda kuuzauza vitu.. Unajua kuuza kitu nacho ni kipaji na ni sanaaSiujui lkn kama ameweza kumiliki hiyo anaweza uza huko akaongeza kidogo akatoka hapo..
Sio lazima afike huko simu zipo we unawaza 500k...KENZY kubadili simu sio jambo la mchezo ujue.. Simu standard kwa viwango vyetu bongo si chini ya 500k
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda shida haijamkaba mtu! Watu wanauza Figo hawashindwi simu ya urithi kakaSimu nyingine za urithi nyingine za zawadi kuuza ni ngumu na kuna baadhi ya watu si wa kupenda kuuzauza vitu.. Unajua kuuza kitu nacho ni kipaji na ni sanaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajifanya mjuaji kishenzi.Sio lazima afike huko simu zipo we unawaza 500k...
Wakati anaweza kupata 200k nzuri tu na akatumia vyema