danhoport
JF-Expert Member
- May 20, 2020
- 1,611
- 3,196
Habari wakuu,
Naombeni msaada wenu.
Nimenunua kisimbuzi cha antena cha Azam bila antena nimekuja nacho kibaha nikaunganisha kwenye antena.
Cha ajabu zinakuja channel za startimes na nimejaribu kusearch zaidi ya Mara tatu lakini channel ni zile zile za startimes zinakuja.
Shida inaweza kuwa ni nini?
Naombeni msaada wenu.
Nimenunua kisimbuzi cha antena cha Azam bila antena nimekuja nacho kibaha nikaunganisha kwenye antena.
Cha ajabu zinakuja channel za startimes na nimejaribu kusearch zaidi ya Mara tatu lakini channel ni zile zile za startimes zinakuja.
Shida inaweza kuwa ni nini?