Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 1,125
- 1,922
Elon Musk hana ujuzi wa maswala yote yanayohusiana na mitandao ya kijamii kwasababu amekuwa na tabia za childish tangu awe mkurugenzi wa kampuni ya Twitter.
Kwa kawaida mtu anaponunua kampuni yeyote ile anatakiwa kuboresha huduma zilizokuwa zikitolewa hapo awali na sio kuharibu huduma.
Bwana Elon tangu amiliki kampuni ya Twitter, malalamiko yalianza kwa watumiaji wake wakichukizwa na mfumo mpya wa uendeshaji ikiwemo masharti mengi kwa watumiaji pamoja na nembo mpya ya X ikishutumiwa kuwa inatambulisha ngono jambo ambalo limeharibu kabisa mtandao huo wa Twitter na hivi sasa kuonekana kama mtandao wa kipuuzi
Elon Musk ana fedha nyingi lakini hana taaluma ya maswala ya mitandao ya kijamii hivyo basi ni vizuri angejiondoa katika nafasi ya mkurugenzi wa kampuni hiyo na kumwachia mtaalamu aliyebobea katika maswala ya mitandao ili anusuru kampuni hiyo ya X kwasababu ipo mbioni kuondoka machoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii
Kwa kawaida mtu anaponunua kampuni yeyote ile anatakiwa kuboresha huduma zilizokuwa zikitolewa hapo awali na sio kuharibu huduma.
Bwana Elon tangu amiliki kampuni ya Twitter, malalamiko yalianza kwa watumiaji wake wakichukizwa na mfumo mpya wa uendeshaji ikiwemo masharti mengi kwa watumiaji pamoja na nembo mpya ya X ikishutumiwa kuwa inatambulisha ngono jambo ambalo limeharibu kabisa mtandao huo wa Twitter na hivi sasa kuonekana kama mtandao wa kipuuzi
Elon Musk ana fedha nyingi lakini hana taaluma ya maswala ya mitandao ya kijamii hivyo basi ni vizuri angejiondoa katika nafasi ya mkurugenzi wa kampuni hiyo na kumwachia mtaalamu aliyebobea katika maswala ya mitandao ili anusuru kampuni hiyo ya X kwasababu ipo mbioni kuondoka machoni mwa watumiaji wa mitandao ya kijamii