Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
Wakuu hivi karibuni nimenunua window phone,baada ya manzi wangu kung'ang'ania simu yangu ya samsung,nikaamua ku-'experience the difference' kwa kuhamia Window phone kutokana na kwamba mimi nilikua mpenzi wa simu za nokia,nikasema ngoja nirudi nyumbani.
Nilichokikuta huko kimenikatisha tamaa sana,kuna vitu kwa kuvutia kule hasa user interface,smoothness,live tiles,kuweka au kutoa chochote unachokitaka kwenye home page katika simu za window.
Ila mabaya ni mengi hasa tuliozoea simu za android,application za kumwaga,tena za bure kabisa,kilichonikatisha tamaa ni store yao kua immature,yaani store ya window phone bado ni ya kitoto sana,application chache sana tena za kikuda sana,nyingine zilizopo tena za kawaida kabisa zinauzwa ambazo kwenye android ni bure.
Ujinga mwingine ni kwenye gallery, huwezi kuangalia video zako ulizodownload hadi kuwe na internet connection vinginevyo huwezi kuziona. Hii pia ni ujinga uliokubuhu.
Binafsi napenda uhuru wangu, sasa huku window hakuna application inayoweza kukulinda, mfano kwenye android unaweza kuweka application ambayo simu ikipigwa hadi uweke password ndio uone nani anapiga,kupokea pia unaweka password, huku window hakuna kitu kama hiyo, hii inaniweka kwenye wakati mgumu sana hasa napokua na manzi wangu.
Kwa ujumla window phone bado wana safari ndefu ya kwenda,application za kwenye window phone hazijafika hata robo ya application za android, little soon narudi android. I am very much disappointed.
CC: CHIEF MKWAWA
Nilichokikuta huko kimenikatisha tamaa sana,kuna vitu kwa kuvutia kule hasa user interface,smoothness,live tiles,kuweka au kutoa chochote unachokitaka kwenye home page katika simu za window.
Ila mabaya ni mengi hasa tuliozoea simu za android,application za kumwaga,tena za bure kabisa,kilichonikatisha tamaa ni store yao kua immature,yaani store ya window phone bado ni ya kitoto sana,application chache sana tena za kikuda sana,nyingine zilizopo tena za kawaida kabisa zinauzwa ambazo kwenye android ni bure.
Ujinga mwingine ni kwenye gallery, huwezi kuangalia video zako ulizodownload hadi kuwe na internet connection vinginevyo huwezi kuziona. Hii pia ni ujinga uliokubuhu.
Binafsi napenda uhuru wangu, sasa huku window hakuna application inayoweza kukulinda, mfano kwenye android unaweza kuweka application ambayo simu ikipigwa hadi uweke password ndio uone nani anapiga,kupokea pia unaweka password, huku window hakuna kitu kama hiyo, hii inaniweka kwenye wakati mgumu sana hasa napokua na manzi wangu.
Kwa ujumla window phone bado wana safari ndefu ya kwenda,application za kwenye window phone hazijafika hata robo ya application za android, little soon narudi android. I am very much disappointed.
CC: CHIEF MKWAWA