We inunue tu ni nzuri lkn kuiuza baada ya matumizi ni ishu.
kwanini haiuziki mkuuu
Wakuu baada ya majibu hayo.
Kuna hizi TOYOTA MARK II GX 110
Maana naona zilikuja kwa kasi halafu zikashuka bei kwa kasi ya kutisha na muundo wake mzuri ndani na nje.
Je hizi nazo majanga yake ni yapi
Its a comfotable cheap sedan. Not suitable for offroad day to day activities. You need to have deep pockets, fuel consuption is worse. That car depreciate too fast cause they are not preferable to many.
Acheni woga wa maisha brevis cha kwanza inausalama, inabalance nzuri road, modern car, kama gari utaitunza yanini kuogopa kuwa itakuharibikia, kama unaenda safari ukitembea 120 kph kushuka chini waweza kutoka dar to dom kwa nusu tank, pia ni gari ambayo huwa inafananishwa na BMW series 3 coz brevis ilitolewa hili kushindana na bmw s3 kwenye soko, brevis ukitumia D4 VVTI 300i huwa inatembea sawa na prado TX ya 2004, but D4 vvti 250i huwa inakua na moto wa kawaida road.
Pia brevis ni luxury sana ndani, sound isolation system ipo, navigation system, airbag 4, abs brake system, traction control,
Kama hautaogopa mafuta nakushauri nunua, but kama umezoea vitz na passo basi brevis acha tu haitakua useful kwako...
Acheni woga wa maisha brevis cha kwanza inausalama, inabalance nzuri road, modern car, kama gari utaitunza yanini kuogopa kuwa itakuharibikia, kama unaenda safari ukitembea 120 kph kushuka chini waweza kutoka dar to dom kwa nusu tank, pia ni gari ambayo huwa inafananishwa na BMW series 3 coz brevis ilitolewa hili kushindana na bmw s3 kwenye soko, brevis ukitumia D4 VVTI 300i huwa inatembea sawa na prado TX ya 2004, but D4 vvti 250i huwa inakua na moto wa kawaida road.
Pia brevis ni luxury sana ndani, sound isolation system ipo, navigation system, airbag 4, abs brake system, traction control,
Kama hautaogopa mafuta nakushauri nunua, but kama umezoea vitz na passo basi brevis acha tu haitakua useful kwako...