Msaada SMTP server ya TTCL

Msaada SMTP server ya TTCL

Songambele

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2007
Posts
4,725
Reaction score
2,607
Wakuu naomba kujua SMTP server ya TTCL inaitwaje jamani manake natumia TTCL Broadband huku bush na mara nyingi nimekuwa natumia outlook kwa ajili mawasiliano mbali mbali lakini nina kama wiki tatu napokea tu mail kutuma inakataa.

Katika kuuliza ndio nikaambiwa niweke outgoing server ya TTCL kama naijua, kumbe kichina wana mjuzi asisite kunipa elimu najua na wengine pia itawafaa. kwa kutumia zain modem pia ninaweka SMTP ya zain mambo yanakuwa poa.

TTCL BB naiona nafuu kidogo kulinganisha na huduma zingine hata hupatikanaje wake ni rahisi huku ambapo ni mawasiliano ya kuunga-unga.
 
Wakuu naomba kujua SMTP server ya TTCL inaitwaje jamani manake natumia TTCL Broadband huku bush na mara nyingi nimekuwa natumia outlook kwa ajili mawasiliano mbali mbali lakini nina kama wiki tatu napokea tu mail kutuma inakataa.

Katika kuuliza ndio nikaambiwa niweke outgoing server ya TTCL kama naijua, kumbe kichina wana mjuzi asisite kunipa elimu najua na wengine pia itawafaa. kwa kutumia zain modem pia ninaweka SMTP ya zain mambo yanakuwa poa.

TTCL BB naiona nafuu kidogo kulinganisha na huduma zingine hata hupatikanaje wake ni rahisi huku ambapo ni mawasiliano ya kuunga-unga.

Unatakiwa uweke server adress ya provider wako kwa kawaida, so kama unatumia Gmail weka server yao etc.
 
Unatakiwa uweke server adress ya provider wako kwa kawaida, so kama unatumia Gmail weka server yao etc.

Mkuu naomba adress ya server ya tigo na airtel.

Asante
 
Back
Top Bottom