Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari wakuu nina laptop yangu TOSHIBA ilikua na window 10, sasa nikaona ni nzito sana nikaamua kuweka window 7 sasa baada ya kuweka Ports zote hazisomi flash wala external HDD nashindwa kuupdate...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani Masada jf members Nina laptop HP lakini inatatizo nikiweka CD zile za muvi zile zinazouzwa zinakataa kusoma lakini baadhi zinasoma zikifika katikati zinagoma nyingine hazisomi kabisa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wanajamvi. Naombeni msaada kuwa simu yangu ya H5 imekataa ku download picha na video ya WhatsApp. Ina download mpaka mwisho then inaanza mwanzo tena. Zingine ukizirudia ku download...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kama wahitaji kuongeza likes kwenye post zako za instagram wasiliana nami nikuongezee likes kuanzia 500 hadi 5000 kwa bei rahis kabisaa... Pia natoa huduma ya kuongeza followers kwenye akaunt za...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.. Nahitaji kioo cha hp inch 15.6 mwenye nacho anicheki pm.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jf. Simu yangu nikiwasha internet zinakuja apps nyingi zikinitaka kuaccept. Zinakera mpaka sioni raha ya internet. Naomba msaada nifanyeje hizo apps zisije automatic nikiwasha internet.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar zenu waungwana.. Nahitaji kununua flat screen yenye internal receiver, yaan ambayo naweza kuitumia kupata channel za bure bila kutumia king'amuzi , Nawaomben ushauri aina ipi itakuwa...
1 Reactions
106 Replies
20K Views
Hey, I just downloaded WhatsApp Messenger on my Android. It is a smartphone messenger which replaces SMS. This app even lets me send pictures, video and other multimedia! WhatsApp Messenger is...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habarin ndug zangu..tatizo nlilonalo ni kwamba simu yangu imeanza tabia ya kutosoma slot 2..tangu niweke laini yangu ya voda kwenye slot 2..basi nikjaribu kutoa ili niweke laini nyingne upande huo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana bodi.... Ninahitaji ku configure Gmail in outlook.. Nimeshajaribu mara kadhaa na kuingiza settings zote but still inakataa. Mwenye ujuzi zaidi wa hiki kitu naomba anisaidie...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama title isemavyo nimeamua kugawa akaunti yangu ya instagram yenye followers 10k na following 2k kwa bei chee....ukiitaka njoo pm au whatsapp kwa namba hii 0673-659759
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Deleted
0 Reactions
2 Replies
892 Views
Kwa yeyote anayeweza kufaham fundi wa kunifungia dishi la Dstv naomba Msaada huo,nipo nyakato Mwanza,:D
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi naomba kupewa msaada juu ya kununua applications online kupitia simu yangu ya Lumia 1520. Je kuna hatua gani za kufanya kabla ya kununua. Tayari ninayo Visa card ya barclays ambayo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu mimi ni moja ya wale watu waliojiunga na mtandao wa halotel hivi karibun ili kujionea utofauti na mitandao mingine lakin hawa jamaa wa halotel siwaelewi kwanini kila nikijaribu...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari ya asubuhi wana jamvi. Natumia SONY XPERIA S LT26i. Mara nyingi huwa natumia VodaCom. Simu yangu inachemka sana nikibadili line (nikiweka Airtel) na inamaliza chaji ukilinganisha na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msaada tecno h6 imegoma kufungua kamera. Inaniandikia "can't connect to the camera" iko na full storage. Ni shida
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salam wakuu wa JF ninahitaji kuwa na website yangu tayari nimeshafanya host na domain yangu hii hapawww.binruwehy.com lakini siwezi kuiunganisha na wordpress msaada please
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu nauliza bei ya sony experia x10 sh ngap? Nataka kununua kama kuna mtu anajua anisaidie
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Wakuu hii ni aina ya satellite inayotumika katika Communication process kama Televisions kwann Sat hii iko fixed nashindwa ku imagine kuwa inatembea same speed na earth kiaje observer aione...
0 Reactions
3 Replies
974 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…