Flat screen zenye internal receiver

Flat screen zenye internal receiver

Mosiwakaya

Senior Member
Joined
Jul 22, 2014
Posts
185
Reaction score
35
Habar zenu waungwana..

Nahitaji kununua flat screen yenye internal receiver, yaan ambayo naweza kuitumia kupata channel za bure bila kutumia king'amuzi ,
Nawaomben ushauri aina ipi itakuwa nzuri zaid na imara..
 
SAMSUNG ya inchi 32 ni bomba. Hutajuta.
 
Vp kuhusu hz kodteck inchi nilizikuta duka flan hv jamaa anasema znashka mpaka channel 24 za bure, kuna mwenye uzoefu na hz kodtech hapa atujuze?j
 
kwa vijijini sifahamu mie natumia Samsung led tv inch 32 ipo vizuri sana ninachannel karibu 200 na ninatumia antena ya kawaida tu.

hiyo naona iko vzr ila hapo nafikiri inatakiwa kujipanga vzr kimfuko binamutz
 
Last edited by a moderator:
jamani mbona me ninayo hii tv yenye kingamuzi ndani lakini kila nikisach nakuta channel zote zimefungwa na kikufuli ...au kuna utaalam wa kuzifungua??
 
jamani mbona me ninayo hii tv yenye kingamuzi ndani lakini kila nikisach nakuta channel zote zimefungwa na kikufuli ...au kuna utaalam wa kuzifungua??

hakuna utaalamu wa kuifungua nikusearch upya zitakuja upo wapi mkuu?
 
Back
Top Bottom