Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wanabodi Simu yangu ya note 3 inashida ya flash kwenye front camera, ukipiga haiwaki,msaada kwa hili.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
A concealed motor has been discovered during the examination of a bike used by a Belgian cyclist at the world cyclo-cross championships. The bike was seized by cycling authorities after Femke Van...
0 Reactions
1 Replies
558 Views
JE LAPTOP AINA YA ASUS YENYE Processor: Intel(R) Celeron(R) CPU N2840@2.16GHz 2.16GHz RAM 2.00GB NAWEZA KUPIGA WINDOW7
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Inazingua kureboot ukitoa memory hai display inataka u switch off ni SAMSUNG SGH-i917 software windows phone7 OS version. 0. 36. 2. 0
0 Reactions
0 Replies
650 Views
Habari zenu wana sayansi na teknolojia? Nimefuatilia mwanzo mwisho threads nyingi humu zinazohusu FTA channels na visimbusi vya azam, DStv, zuku n.k Lakini sijapata elimu ya mwanzo mwisho, hatua...
0 Reactions
4 Replies
13K Views
Simu yangu Sumsung galaxy note 3 SM-N9006 haina Google play store kwa ajili ya kudownload application! Naomba msaada wana jamvi jinsi ya kutatua hilo tatizo
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninatumia acer laptop window 8. 1 inaload muda mlefu wakati nataka kupair other Bluetooth devices si hivyo tu haizionyeshi hizo devices kwenye display msaada jamani
0 Reactions
4 Replies
1K Views
I bought a one month internet bundle 2 GB for 15,000 Tshs not more than two weeks a go from Vodacom. On Sunday, 17th Jan, I received a message that I have consumed all 2 GBs! I am not tha heavy...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hii ni blog ambayo nimededicate kuelezea mambo mbalimbali na ya tofauti kuhusiana na technologia kwa ujumla naomba support yenu ili niwezew kufanya mambo makubwa TECHEDU TANZANIA: THE HISTORY OF...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kila nikijaribu kusearch chanel hamna inayo tokea naomba msaada nifanyeje.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu Simu inasema internal and SD card memory full wkt nina memory card Gb 16,available space ni 14 GB & internal storage available space 500 Mb Nifanyeje? Nmechoka kudelete files
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Nawasilisha; kwa yeyote mwenye uzoefu na ufahamu wa gari hiyo tafadhali naomba anifahamishe: Ukubwa wa ingine yake (power). Service maintainance kwa mana ya gharama. Durability ya gari hili kwa...
0 Reactions
26 Replies
11K Views
"Subiri mpaka chaji ya betri iishe kabisa ndo uchaji upya" "Usitumie simu ikiwa kwenya chaji, ni hatari" Hayo maneno, na mengine nayasikia sana mtaani nikawa najiuliza kama yana ukweli wowote wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimesoma BBC kwamba simu za apple na Samsung soko lao limeshuka ukilinganisha na macompany ya Uchina. Mauzo ya simu za Samsung yashuka Kampuni ya vifaa vya kielektroniki, Samsung imeathiriwa...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Wadau nimekutana na site moja hapa ambayo inakuwezesha kufahamu kama Simu unayomiliki ni kimeo kinachotakiwa kufungiwa na TCRA au lah. Unachotakiwa kufanya ni kutambua IMEI yako na kisha kuingiza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
kuna kifurushi cha 200 cha voda kuna baadhi ya line kinakubali wengine kinakataa'yaaani 200 unapata mb 100 sms 1000 na dakika 100 kwa siku saba,just dial *149*68# uone maajabu
1 Reactions
4 Replies
2K Views
msaada wakuu naomba yeyote mwenye hii simu anipe specs nyingi awezavyo juu yake...tafadhali include mapungufu ya hii simu.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naombeni msaada Kama kuna uwezekano wa kuroot hii simu yangu Tecno c8 kwa matumizi mengine ikiwemo ifont asanteni
0 Reactions
2 Replies
955 Views
Nina laki 3 naweza pata tablet mpya toka dukani,au simu yenye kioo kikubwa chenye inch kuanzia 6 naomba ushauri wenu kwa wataalamu wa simu humu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji mwenye kifaa hiki cha electronics cha ku record na ku play back,,chenye uwezo wa ku record voice zaidi ya voice 4 na kuzi play hizo voice...
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Back
Top Bottom