MSAADA TOSHIBA IMEZINGUA

DissDotCom

JF-Expert Member
Mar 31, 2014
395
268
Habari wakuu nina laptop yangu TOSHIBA ilikua na window 10, sasa nikaona ni nzito sana nikaamua kuweka window 7 sasa baada ya kuweka Ports zote hazisomi flash wala external HDD nashindwa kuupdate drive kwani hata wireless driver hazijaingia na kutumia modem port hazisomi, awali ilipokua na window 10 ilikua ports zote zinasoma. Now imekua tatizo MSAADA PLEASE
 
Habari wakuu nina laptop yangu TOSHIBA ilikua na window 10, sasa nikaona ni nzito sana nikaamua kuweka window 7 sasa baada ya kuweka Ports zote hazisomi flash wala external HDD nashindwa kuupdate drive kwani hata wireless driver hazijaingia na kutumia modem port hazisomi, awali ilipokua na window 10 ilikua ports zote zinasoma. Now imekua tatizo MSAADA PLEASE
Hapo mkuu inabidi utafute hizo driver kwa kutumia mashine nyingine then uzichome kwenye CD uje uziingize kwenye Toshiba yako... Angalizo hakikisha driver unazotafuta ziwe zenyewe kulingana na hivyo OS Yako vinginevyo utapata hasara ya kununua CD kila unapokosea.
 
Hapo mkuu inabidi utafute hizo driver kwa kutumia mashine nyingine then uzichome kwenye CD uje uziingize kwenye Toshiba yako... Angalizo hakikisha driver unazotafuta ziwe zenyewe kulingana na hivyo OS Yako vinginevyo utapata hasara ya kununua CD kila unapokosea.
ok thanx sana mkuu...so naangalia driver zilizomiss zen nadownload
 
Habari wakuu nina laptop yangu TOSHIBA ilikua na window 10, sasa nikaona ni nzito sana nikaamua kuweka window 7 sasa baada ya kuweka Ports zote hazisomi flash wala external HDD nashindwa kuupdate drive kwani hata wireless driver hazijaingia na kutumia modem port hazisomi, awali ilipokua na window 10 ilikua ports zote zinasoma. Now imekua tatizo MSAADA PLEASE


hapo mkuu inakubidi udownload driver zote za windows seven za hiyo Toshiba yako kwenye pic nyengine na pia tazama kama hiyo windows 7 ni
32bit badili ya 64bit zinaweza kufanya kazi inawezekana hiyo laptop yako designed for win 7 64bit
 
ok thanx sana mkuu...so naangalia driver zilizomiss zen nadownload
Yap; hapo ndipo umuhimu wa CD unapochukua nafasi zake.. Kama hiyo PC huna mpango wa kuiuza then unaweza ukachukua DVD kabisa ukachoma dtiver zote za mashine yako halafu utakapomaliza matumize yake ukaificha mbali kwaajili ya references hapo baadaye.... Lakini pia hakikisha hiyo mashine ina partition unaweza pia ukatengeneza folder ukazihifadhi huko so next time Nazi linakuwa nyepesi unazi-excute tu.

Lakini pia unaweza kupiga window in normal siyo kule kwenye bios then utakapokuwa umemaliza ile old window usiifute kwanza Nazi yako ni kuitumia hivyo kwaajili ya kuupadate driver za kwenye hiyo window mpya ikiwa kama uliamua kurudisha window kama hiyo.
Itategemea na bits pmj na aina ya OS yenyewe.
 
Yap; hapo ndipo umuhimu wa CD unapochukua nafasi zake.. Kama hiyo PC huna mpango wa kuiuza then unaweza ukachukua DVD kabisa ukachoma dtiver zote za mashine yako halafu utakapomaliza matumize yake ukaificha mbali kwaajili ya references hapo baadaye.... Lakini pia hakikisha hiyo mashine ina partition unaweza pia ukatengeneza folder ukazihifadhi huko so next time Nazi linakuwa nyepesi unazi-excute tu.

Lakini pia unaweza kupiga window in normal siyo kule kwenye bios then utakapokuwa umemaliza ile old window usiifute kwanza Nazi yako ni kuitumia hivyo kwaajili ya kuupadate driver za kwenye hiyo window mpya ikiwa kama uliamua kurudisha window kama hiyo.
Itategemea na bits pmj na aina ya OS yenyewe.

Thanx sana mkuu nimekuelewa nitakupa mrejesho nikifanikiwa au kama sijafanikiwa
 
Hapo mkuu inabidi utafute hizo driver kwa kutumia mashine nyingine then uzichome kwenye CD uje uziingize kwenye Toshiba yako... Angalizo hakikisha driver unazotafuta ziwe zenyewe kulingana na hivyo OS Yako vinginevyo utapata hasara ya kununua CD kila unapokosea.
THANX SANA MKUU NIMEFANIKIWA SANA
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom