GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
hili nimeuliza mara kadhaa kwa lengo pia la kusaidiana wote. mfano nina dish la dstv lakini sina pesa ya kulipia hata ile bundle yao ya bei ya chini kabisa kutokana na ukata. je haman namna ya kuweza kuangalia zile channel zao za free to air?
natakiwa nifanye nini? wajuzi tusaidianen tafadhari.
natakiwa nifanye nini? wajuzi tusaidianen tafadhari.