Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,539
UPDATE
Wadau vitu vizuri ule na wenzio.
Katika pita pita zangu nimekutana na hii trick inayosaidia kuifanya Fire fox kuwa nyepesi hivyo si vibaya kushare na wengine.
Mchezo wenyewe upo hivi:-
1.Type about:config katika address bar kama inavyoonyesha screen shoot
then click ok
2.shuka chini ya adress bar utaona search box na utype humo maneno haya pipelining (check screen shoot hapo chini)
3.sasa Right-click katika maneno ya haya:-
i)network.http.pipelining na uset iwe true
ii)network.http.proxy.pipelining set iwe true
iii) network.http.pipelining.maxrequests hapa badili value iwe 100
4.Right-click popote pale alafu select new ----> interger kitatokea kiboksi ambacho utaingiza maneno haya nglayout.initialpaint.delay bonyeza OK alafu value weka 0 then bonyeza OK
5.fanya kama namba 4 ila kwenye kiboksi utaingiza maneno haya content.notify.interval value weka 500000
6.Right-click tena alafu utaselect New -------> boolen kwenye kiboksi type content.notify.ontimer alafu chagua true
7.Rudia tena kama namba 4 ila kwenye kiboksi utatype content.switch.threshold value weka 250000
8.Hatua ya mwisho Right-click useleck new ---------> boolen kwenye kiboksi type content.interrupt.parsing alafu chagua false
Hadi hapo mambo yatakuwa fresh so Restart Browser yako uanze kutumia
Wadau vitu vizuri ule na wenzio.
Katika pita pita zangu nimekutana na hii trick inayosaidia kuifanya Fire fox kuwa nyepesi hivyo si vibaya kushare na wengine.
Mchezo wenyewe upo hivi:-
1.Type about:config katika address bar kama inavyoonyesha screen shoot
then click ok
2.shuka chini ya adress bar utaona search box na utype humo maneno haya pipelining (check screen shoot hapo chini)
3.sasa Right-click katika maneno ya haya:-
i)network.http.pipelining na uset iwe true
ii)network.http.proxy.pipelining set iwe true
iii) network.http.pipelining.maxrequests hapa badili value iwe 100
4.Right-click popote pale alafu select new ----> interger kitatokea kiboksi ambacho utaingiza maneno haya nglayout.initialpaint.delay bonyeza OK alafu value weka 0 then bonyeza OK
5.fanya kama namba 4 ila kwenye kiboksi utaingiza maneno haya content.notify.interval value weka 500000
6.Right-click tena alafu utaselect New -------> boolen kwenye kiboksi type content.notify.ontimer alafu chagua true
7.Rudia tena kama namba 4 ila kwenye kiboksi utatype content.switch.threshold value weka 250000
8.Hatua ya mwisho Right-click useleck new ---------> boolen kwenye kiboksi type content.interrupt.parsing alafu chagua false
Hadi hapo mambo yatakuwa fresh so Restart Browser yako uanze kutumia