Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Jamani wale wenye uwezo wa kugundua tatizo hili linasabishwa na nini mnipe maujanja kuna pc hapa kila uki chagua programu na ku click inasema this program not responding nimetest kuiscan no virus...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nikidownload app inadai imejaa wakat space ipo wakuu msaada nifanyeje?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu msaada nataka kudownload clips lakini nashindwa kudownload
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Naombeni mwenye kujua key za hii application anisaidie maana najaribu kuinstall ila inadai key na baadae ukiweka key inadai authentication code Msaada tafadhali.[emoji120]
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jukwaa msaada kidogo hapa kila nikitaka kupakuwa app kutoka play store napata ujumbe huu. Niliyo yafanya kabla sijaja hapa kuomba msaada nime -clear cache -Clear data Lakini bado tatizo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natumia galaxy J 1 ace nataka kuroot mwenyekujuaa anisaidieeeee
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Smart phones are fast becoming an opium for the general population in Dar es salaam, infact it is a criterion upon which individuals are judged; to be plain, the more expensive your smart phone...
3 Reactions
126 Replies
30K Views
Kama kilivyo kichwa cha habari lengo ni kutaka kufahamu juu ya maswali hayo mawili Nawasilisha. """"""""""""""""""""""""""
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Jamani ninahitaji kuangalia videos na picha zilizopakuliwa na bluestak huku bluesatk ikiwa off nifanyaje please!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu..... Mwaka juzi bosi wangu wa kichina alinibakishia makombo ya iphone wakati amemaliza mkataba wake hapa nchini....lakini baada ya kutumia hii kitu nimejikuta nimeshakuwa teja wa...
3 Reactions
94 Replies
22K Views
WhatsApp ni moja kati ya instant messaging(IM) apps maarufu duniani na yenye watumiaji wengi sana, takribani watumiaji milioni 700 duniani kote. Ni IM bora ukilinganisha na zingine kwa kigezo...
6 Reactions
30 Replies
11K Views
Tunatengeneza software kwaajili ya kampuni ku manage wafanyakazi wake 1. Mfumo wa namba ya mfanyakazi e.g. 100 50 000120 > 100 (1st three digits) zinasimama kama branch ya kampuni alipo mfanyakazi...
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Wadau natumai mu wazima, tatizo ni kama linavyojieleaza hapo juu, nimejaribu kuenda kwenye control panel, mashine ina detect external speakers na inaonesha ipo active lakini nikiplay hakuna sauti...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu tujadili na hapa ..Mi naona root acces si kwamba tu unapata uwezo mkubwa wa kuicintrol simu yako ikiwa kama kuweka custom roms na kuinstal some apps bomba..Ila Hasara yake kubwa inawapa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Naombeni mrejesho hapa mi naona ina kula spec tu
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Hivi karibuni nimeona vipindi LiVe vya matukio mbalimbali facebook ikiwa ni pamoja na BBC habari. Pia kuna watoto naona wanacheza kwenye playground moja wanachezea BMX na scooters wako Live...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Karibu wiki ya pili sasa napata shida hii. Kwa mfano nakuwa net nipo naperuz JF nikitaka kufungua tab mpya inatokea site nyingine kabisa mfano nakuta imefunguka site ya alibaba, flirchi, Meet...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kampuni ya Whatsapp ikishirikiana na "Open Whisper Systems" wameongeza update mpya itakayofanya mawasiliano kati ya watu wawili kutoweza kusomeka na watu wengine ( serikali au waajiriwa wa...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Nawezaje ku hack mawasiliano ya mtu ambaye siwezi ku access simu yake? Tafadhali nisaidieni
0 Reactions
2 Replies
883 Views
Wakuu habar! Kuna wakat android phone zetu wnyw tunazpenda sanaaa! Lkn kuna wakat zinaboa, kuna kero nyingi! But this time, nataka tuwekane sawa juu la kero ya android smartphone zetu pind...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom