Computer ipi nzuri kwa graphics, kati ya hizi AMD or NVIDIA??

PlayBoyMwema

JF-Expert Member
Jul 27, 2014
1,714
1,829
Habar zenu hapa samahan wakuu ningependa kufahamu kati ya computer inayorun kwa kutumia graphics card za AMD na computer inayotumia graphics card za NVIDIA ipi ni nzuri kwa performance???
 
Lakin nmekuwa na bad experience na hizi za AMD....
inawezekana una slowest amd graphics ndio maana imekuwa hivyo, pia mimi naweza kuwa na slowest nvidia card nikawa na experience mbaya vile vile. bila kuzijua namba zake exactly ni ngumu kupata jibu. pia unaweza kuwa na graphics card na ukapitwa na ambaye hana dedicated graphics, so kuwa na graphics kama hivyo pia sio tija
 
NVIDIA Ni wazuri kuliko ata Intel co AMD tu, uzuri wao unatokana na kutumia ghalama kubwa kutengeneza graphic zenye ubora, ni sawa na super amoled display kulinganisha na cheap grass material display za kwenye tecno.
 
NVIDIA Ni wazuri kuliko ata Intel co AMD tu, uzuri wao unatokana na kutumia ghalama kubwa kutengeneza graphic zenye ubora, ni sawa na super amoled display kulinganisha na cheap grass material display za kwenye tecno.
si kweli, kila graphics zipo low end, medium na highend hivyo huwezi ukasema tu nvidia nzuri, mfano nikichukua AMD furry x ukacompare na gpu kama nvidia gt 210 ni uonevu sababu nvidia anakuwa amepitwa kama mara 50. vile vile nikichukua gpu ya nvidia kama gtx 980ti nikacompare na low end ya amd kama hd 5450 nayo inapitwa kama mara 50. pia intel ana igp nzuri kama iris pro 580 ambazo zinapita gpu nyingi tu za laptop za low end na medium.

bila kujua exactly ni gpu gani unazoziongelea haiwezekani kabisa kujua gpu ipi nzuri
 
si kweli, kila graphics zipo low end, medium na highend hivyo huwezi ukasema tu nvidia nzuri, mfano nikichukua AMD furry x ukacompare na gpu kama nvidia gt 210 ni uonevu sababu nvidia anakuwa amepitwa kama mara 50. vile vile nikichukua gpu ya nvidia kama gtx 980ti nikacompare na low end ya amd kama hd 5450 nayo inapitwa kama mara 50. pia intel ana igp nzuri kama iris pro 580 ambazo zinapita gpu nyingi tu za laptop za low end na medium.

bila kujua exactly ni gpu gani unazoziongelea haiwezekani kabisa kujua gpu ipi nzuri
Chief Mkwawa,kwa sisi ambao ni laymen kwenye haya mammbo hapa hatuwaelewei.Hebu toa elimu kidogo na hizo graphic cards.Je ni card unanunua au ipo inbult kwenye pc au lapotop.Na kama unanunua unanunua wapi na kwa bei gani.Maana kuna kipindi niliona mnaongelea hayo kwenye video editing.Hebu tufundishe kidogo kama unavyofanya kwenye mambo mengine.
 
Ondoa upper specfications, nimetumia low end ambazo ndo pc zetu wengi, na hayo ndo maswahibu yatakayokukuta
hata hizo low end mkuu zipo nyingi zinazidi 100 mule mule tu tutarudi pale pale. mfano nvidia zipo gt 210,220,230,240.... 610, 620, 630, 640, 710,720,730,740 etc ukija amd nayo hivyo hivyo.
 
Chief Mkwawa,kwa sisi ambao ni laymen kwenye haya mammbo hapa hatuwaelewei.Hebu toa elimu kidogo na hizo graphic cards.Je ni card unanunua au ipo inbult kwenye pc au lapotop.Na kama unanunua unanunua wapi na kwa bei gani.Maana kuna kipindi niliona mnaongelea hayo kwenye video editing.Hebu tufundishe kidogo kama unavyofanya kwenye mambo mengine.
kwa laptop unaikuta ndani na mara nyingi nje ya laptop kunakuwa na sticker ya Nvidia/Ati/AMD kwa nje
Free-shipping-Graphics-card-series-computer-stickers-ati-nvidia.jpg_220x220.jpg

pia kuna gpu za nje za laptop zinahitaji laptop yako iwe na thunderbolt 3 lakini hizi laptop bei ni ghali na kasha tu la kuwekea gpu linagharimu dola 150 hadi 400 hapo bado hujanunua gpu yenyewe
Razer-Feature-640x353.jpg


kwa desktop unabadilisha bila wasiwasi uwe tu na power supply nzuri yenye uwezo wa kuipa umeme wa kutosha hio gpu. pitia hapa kuziona hizo gpu na bei
gpuShack - Refurbished GPUs with Two Year Warranty. Free Shipping.
 
Mfano mzuri n unapotaka kuingiza whatsapp kwenye pc 2 zenye graphics tofaut utaangaika cku nzima kuingiza bluestacks wakat pc ya NVIDIA ni kubonyeza button tu
Tatizo lilonipata ni kwamba nimeshindwa kuinstall android emulators eg. Bluestack and andy kutokana na unsuported graphic card ya AMD
 
AMD ile ya kama radeon hd 7878 iko vizuri.
Ila Mimi nazikubali sana nvidi
na sasa mimi natumia gtx 960 naiona iko vizuri
mimi kama mimi nasema Nvidia ziko vizuri sana kuliko AMD




1519174777547916686.jpg



AMD and Nvidia Graphics Cards by Price Range
$999+ GeForce Titan X $1000
$600+ Radeon R9 Fury X $650 GeForce GTX 980 Ti $630
$500 - $600 Radeon R9 Fury $550
$400 - $499 Radeon R9 390X $420 GeForce GTX 980 $480
$300 - $399 Radeon R9 390 $300 GeForce GTX 970 $300
$200 - $249 Radeon R9 380 $200 GeForce GTX 960 $210
$150 - $199 Radeon R7 370 $150 GeForce GTX 950 $160
$100 - $149 Radeon R7 360 $110 GeForce GTX 750 Ti $110
 
Back
Top Bottom