tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,423
Habari wana jamvi..mm nilinunua katv haka ka 22" kwa ajili ya chumbani...nilikanunua mwezi wa 11 mwaka 2011ghafla mwaka 2012 julai kakagoma kuonyesha...bahati mbaya sina warrant...tatizo lake ni kuwa kanaongea lkn picha screen ni whit tupu....halafu nakapenda mno...nilikwenda Samsung freedom electronic pale jmall nikaambiwa eti kameingia maji kwa hiyo inabidi niwekewe screen nyingine..bei ya screen ni laki2 na bado ufundi..aisee nilichoka..nikakaweka uvunguni nikaamua kwenda kununua tv ya kichogo mpya ya Samsung nikaweka chumbani...ila sasa ni mwaka tv yangu naionea huruma kukaa uvunguni...nisaidieni niende kwa fundi gani.?...na je bei ya screen mpya ndo hiyo? Na ufundi bei gani maana nilivyopiga hesabu km screen ni laki2 na ufundi bado si itafika lk 3...ndio maana nikaamua kwenda kununua mpya cz niliogopa nisije tupa hela halafu wakaniwekea kioo used..mwsho wa siku kiniharibikie...msaada mwenye kujua nifanyeje