Msaada wadau kuhusu samsung galaxy ace

Msaada wadau kuhusu samsung galaxy ace

The patriot man

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
1,124
Reaction score
1,459
Kuna simu yangu naipenda kwa kweli ni Samsung galaxy ace gt5830i. Kila nikiweka memory card mpya nikipiga picture kama 15 na video 2 nikiongeza picture zinakuwa black zote.

Nishaiweka memory card kama 5 ila zote zinakua hivyo hivyo mpaka nimeamua kununua htc one h plus na haikai na chaji. Samsung inakaa na chaji tatizo inaua memory card.

Naomba msaada kwa anayefahamu hili tatizo. Asanteni
 
Back
Top Bottom