Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Msaada jamani nina huawei y330 ya tgo naomba msaada wa ku unlock iwe inasoma line zote asanten[emoji120]
0 Reactions
1 Replies
2K Views
If you have subscribers with an @facebook.com email address, read on. Facebook announced that it is retiring its email service completely and will stop forwarding messages to your primary email...
2 Reactions
0 Replies
785 Views
Kuna mdogo wangu nilimpa simu yangu atumie kwa muda simu aina ya TECNO M3 kutumia lakini nikaihitaj tena baada ya pale simu haisomi mtandao zile bars hazionekani inaandika invalid Imei hata...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naombeni mwenye FIFA 15 OR 16 NIPO ARUSHA
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Nilibadili Window Na Ninapojaribu Kutumia Internet Inanigomea. Nadhani Kuna Drivers Zinamiss. Naombeni Msaada Nijiunge Vipi Tena
0 Reactions
3 Replies
892 Views
Whenever i see awesome invention, i feel to share it with others
3 Reactions
2 Replies
844 Views
Nimeona hii port ya Ethernet kwenye dstv decoder mpya ya model 4s , nitawezaje kupata free internet service Kwa hii decoder yangu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Assistance please
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Napenda kujua inakuwaje hadi programming language Inatengenezwa na je zile codes zake huwa zinawekwa sehemu yani kwenye computer na inakuwaje computer kama windows xp kuweza kuelewa latest...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Watumiaji wengi wa simu janja wanalalama kuhusu chaji katika simu wengine wakinunua kitunza umeme ili waweze kutumi simu zaidi, ila kuna vitu tunavifanya na simu janja hizi vinzvyotumia chaji...
6 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimepoteza scratch card yenye activation key za kaspersky cd, nina cd tuu, niliinunua kariakoo kwa bahati mbaya nilifuta window na nikairudishia hivyo nahitaji kuirudishia pia hiyo antivairus...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu naomba mwenye link ya hii app ya VideoFX Music Video Maker Pro Apk V2.3.7 naomba anisaidie tafadhali. Ambayo niko nayo ni limited version so kuna baadhi ya fx zipo locked until niwe na pro...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Za mida wakuu, naombeni msaada wa kuroot HTC one mini
0 Reactions
3 Replies
796 Views
Habar zenu. Naomba mwenye kujua kampun gan east africa ama apa kwetu wataalam wa kutengeneza app. asanteni.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama bado upo kwenye mtandao wa halotel 3G ondoka huko fasta njoo Tigo 4G speed yake hutajuta kamwe, jaribu leo uone kwa waliojaribu wanajua nini nachoseme, Halotel niliwapenda but 4G naipenda...
3 Reactions
66 Replies
8K Views
Habari zenu wana jf... Naomba kujuzwa kama kuna madhara yoyote endapo utaflash simu ili itumie line zote.... Kwasababu nmesikia endapo ukiflash simu uimara wake unapungua je ni kweli?? Na pia kuna...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari zenu wanajamii? Naomba msaada wa software inayoweza kuflash tecno P5
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Simu yangu ni TECNO M5, Ina virus anaitwa times service, anti virus zinachofanya ni ku- disable ,virus huyu haruhusu kuinstall app nyingine yoyote, nime-format handset lakini virus yupo na...
0 Reactions
3 Replies
751 Views
Natumia simu lumia530.nashindwa kuatatch file kwenye email(natumia gmail) mwenye kujua msaada please
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani kama unajua wasifu/specificanion au ulishawai itumia nishauri nimeipenda je nikinunua nitapata matumizi ya apps za kutosha au ntabaniwa msaada please
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom