Ufumbuzi huu utakuwa msaada mkubwa

Ufumbuzi huu utakuwa msaada mkubwa

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
14,558
Reaction score
31,962
Laptop yangu ishawah kuungua kitu flan ndan nikapeleka kwa fundi akabadilisha akarudisha. Imerudi ina tatizo la mouse ina stuck. Unapowasha mara ya kwanza inafanya kazi kidogo then ina stuck mpaka nitumie external.Nami sipend kutumia external. Nimejaribu ku install os na ku unistall bado haijasaidia kitu
 
Back
Top Bottom