Mkuu barutirashid,file lako la stock rom hili HAPA.Vp jmn za huawei y530 zinapatikana
Mkuu barutirashid, muwe mnatoa maelezo ya kutoshana kuwa specific basi.Nilimaanisha ya android 5[lollipop]
Mkuu magnifico,check ni model gani maana zipo mbili,ndio maana na file nikakuwekea mbili maana hukuwa specifics
sorry kaka, hii inafanya kazi kwenye tecno y3+ zile za tigo?
tumia rom ya tecno y2 sababu driver ya display zinangiliana usitumia y3 sababu simu yako haito weza kuwaka itakuwa white screenmsaada mwenye file tajwa hapo juu naomba anisaidie nina shida nalo sana. Asanteni.
Huyo anazungumzia y3+ ya tgo sio y3
Zote chenga hzoMkuu magnifico,check ni model gani maana zipo mbili,ndio maana na file nikakuwekea mbili maana hukuwa specific
zinapatikanaVp jmn za huawei y530 zinapatikana
msaada mwenye file tajwa hapo juu naomba anisaidie nina shida nalo sana. Asanteni.