jaman kwa wale wote ambao ka ugonjwa ketu ni haya magem mazuri na makubwa,
hili game ni zuri kiukweli nmeamua kushare nanyi
BONYEZA HAPA kuli download
#Sayay theCompu3rGUY
Habari za leo wana JF.
naombeni mnijuze eneo gani katika IT lina soko yani ajira zake zipo za kutosha.
naombeni mniambie ili niweze ku specialize kwenye hilo eneo.
mimi mwanachuo nahitaji mnipe...
Habarini..
Kama ilivyo ada, watu wanapendelea games mbalimbali..wengine soka, wengine magari, wengine pikipiki wengine missions.. sijui kwa wale wa hizi flight games... mimi ni mpenzi sana wa...
Hi,
eGA kuna issue gani? Naona kuna tatizo la kupata sites za .go.tz mara kwa mara.
Ni muhimu wawe reliable kwenye availability ili kuongeza kuaminiwa.
Nimeshafungua acount ya hulkshare nakuweka baadhi ya sauti nizitakazo shida nipale ninapotaka kushare katika blog yangu ndio ninapokwama.
Kushare katika facebook na twitter naweza
Msaada wenu Wakuu
Kuna wakati unataka kufungua page au website yoyote kwa haraka kwenye simu yako lakini unakuta ndo kwanza browser ya simu yako inakuwa slow sana kiasi kwamba unaweza kukata tamaa au gafla simu...
Hii simu ilidumbukia kwenye maji baada yakuitoa nakuikausha ikawa inawaka nakuishia kwenye ile Logo ya Expirince smartlife now.. Haiendelei tena.. Nimejaribu kuhard reset imegoma nimejaribu...
Wakuu naomba mnisaidie elimu hapa, simu yangu ni microsoft lumia 535 na haitunzi charge haswa kama nikiwa safarini nakuwa naishiwa charge kabla sijafka.
Naomba mnijuze ni aina gani ya power bank...
Nimefight kweli kutafuta cracked idm kila site hola,wengine wanasema craked ukidownload serial key needed jamani,,,watalam mwenye direct link anipe nisisumbuke na sitaaupdate tenaa dah mateso gani...
jamani msaada kwa wenye uelewa na hili suala. Nina laptop aina ya Hp probook 6570. Huwa nikiweka cursor kwenye alama ya bettery inaonyesha hivi
Bettery #1
Bettery #2
Sasa hili betri namba two ni...
Habari za Leo wapendwa
Napenda kujua mwenye utalamu was kutengeneza umeme was mbolea
(Mavi ya ng,ombe anisaidie
Nataka anijuze kuwa anaweza kunitengezea umeme huo kwa tsh. Ngapi
Nimechoshwa...
Jamani mimi ni mwanafunzi wa chuo cha ATC nasoma telecomunication and electronics.
Natafuta field sasa kuna kampuni inaitwa CAM SAT sijui ipo wapi, nataka nikaombe hapo.
Jamani nisaidieni wiki...
Wanajamvi habari za kazi,
Nina laptop dell Insporon 5050, nikijaribu kuconnect wireless network inaconnect lakini hai acces internet.
Inaniambia connected lakini no internet acces nimejaribu...
Kampuni ya simu ya Tecno ni moto mkubwa katika kampuni kubwa mama ya Transsion Holdings ambayo makao yake makuu yapo nchini Uchina, kampuni hii ilianzishwa ikiwa July 2006.
Kampuni ya simu ya...
SASA UNAWEZA TUMIA WHATSAPP SAMBAMBA KWA SIMU JANJA NA KOMPYUTA YAKO
Kampuni mama ya mtandao wa facebook imetangaza muendelezo wa mbadiliko mazuri mapya kwa mtandao wa mawasiliano unaotumika...
Pata Anti-virus aina ya Kaspersky bure kabisa kutoka hii link Bring the Friend
Unajua kuwa kwa siku Kaspersky inakamata virus 315,000 kila siku?
Jilinde sasa Bring the Friend
Haijawahi kukutokea kutamani kuwa na akaunti zaidi ya moja za Facebook, Whatsapp, Instagram na Messenger katika simu moja? Hujawahi kutamani kuwa na akaunti zaidi ya moja katika tovuti zinazotoa...