VYETI ,VYETI, VYETI .....Vyeti vimeokotwa , vyeti vya FADHILI MASAWE MICHAEL kidato cha nne amemalizia shule ya secondary GG .SHULUA iliyoko box 60138.Dar es salam,
Kidato cha sita...
Now is a great time to change your LinkedIn password. You may recall the recent fallout from the company's 2012 breach, when the social network for professionals revealed that many more users had...
Tv yangu aina ya skyworth imeunganika na Dvd player...imezima ghafla nikiwasha ina-flick tu haiwaki tena.Inaweza kupona,au ndio ishakufa kma kuna fundi wa kuaminika humu j.f naomba Ani pm...
Wakuu, nilii root simu yangu na kui upgrade kutoka 4.4.2 kwenda 4.4.4 tangu nimeibadili imekuwa na tatizo LA kuchagua baadhi ya laini na kuandika invalid imei. Baadhi ya laini siwezi kupiga wala...
Wananchi Mjumbe wenu nahitaji kujua ni channel gani wanaonyesha Mpira wa copa America ktk star times nataka ni recharge ili niangalie hyo additional channel ya Soccer.
habari zenu wana jukwaa ..... naomba msaada kwa simu tajwa juu nmedondosha na touch inarespond kwa shida ............ je kuna spare zake ( like kioo chake naweza badilisha?)
Habari wakuu.
Nainstall software ya pastel evolution kwenye window 8, inaniambia hakuna net frame, nadownload netframe lakini inagoma kuinstall.
Msaada wenu tafadhali.
Habari wakuu?
Mimi ninatumia HP Laptop. Hivi karibuni niliupdate kutoka Windows 8.1 kwenda Windows 10. Awali pc yangu ilikuwa ilikaa na chaji hadi masaa 6. Sasa haikai hata dakika 30. Na hata...
Habari za muda huu Ndg wana jamii forums
Kuna Ndg hapa alikuwa anatumia huawei za tigo , kaweka sim card tofauti na tigo ikawa inaomba codes_ kaingiza Mara kadhaa mpaka ikawa SIM BLOCK...
Natakuliza shukrani zangu kwenu wana body, naomba kujua kwa ambae tayari ameshatumia mtandao tajwa hapo juu speed yake ipoje? Maana nataka namm nikachukue line pamoja na mifi kwaajili ya matumizi...
Siku kama tatu zimepita kuna mtu alipost akilalamika kwamba internet ya halotel imekua nzitoo sana, mimi kwangu ulikua poa tu.
Lakini na mimi tangu asubuhi nilivyounga kifurushi mtandao umekua...
Habari zenu wakuu hivi karibuni nimenunua techno w4 ambayo ina android 6 (marshmallow) lakin tatizo kubwa nashindwa kuiroot nimejaribu apps karibu zote za kuroot lakin imeshindikana je kuna njia...
Wakuu hope ni salama!
Ninafikiri jinsi ya kupata majina ya form IV wanaomaliza kidato cha nne na kupata division four (country wide) in a yearly basis. Ninaomba kama kuna mtu ana idea au...
I'm back baada ya kutokuwa ktk mtandao huu kwa muda mrefu sasa.. Please, uliza kuhusu blackberry nitakusaidia na kama ni urgent sana nita ku refer kwa mtindo mwingine..
Feel free and home!
BBZ10