Habari
Ninatumia windows phone ,tatizo ni kuwa siwezi kupata menu za Tigo pesa na mpesa yaani kila ni nikipiga *150*01# au *148*00# nakadhalika inanipa unknown error.naomba mwenye maujuzi ananisaidia
Nitumie app gani kusoma THE CURRENT MAP VIEW, ambayo inaonyesha vitu halisi vilivyopo kawa sasa, mfano nikipaki gari kisha nikaingia kwenye map location Nione kwa muda huo huo.
Niliyonayo kwenye...
Habari zenu wadau wa jukwaa hili
Naomba msaada niweze kufungua gmail account yangu maana imenigomea kila ninapojaribu ku-log in inasema wrong password na nimejaribu kufuata procedure za kusahau...
HAbari ya nyinyi wana jamvini, wengi tumekuwa tunatamani kupata access ya Wireless intenet , But kikwazo ni key za kuweza kuingia ili tupate access ya internet, mdogo wenu nimezama machimbo yote...
Mwaka juzi bro alinunua ipad min 3 akatengeneza icloud account n mwaka jana ameniachia na bahati mbaya amesahau icloud password yake na mm inanitesa sielewi ni njia gani ya kuitoa icloud email na...
Naomba kujua ni kwanini hili linatokea, ni kwamba TCRA hawana uwezo wa ku control baadhi ya makampuni au kuna ujanjaujanja??.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Kuna jamaa anataka kuniuzia modem kwenye picha, kwa mtu yoyote ambaye amewahi tumia nataka nijue performance yake ipo poa? Na vipi haichagui line kweli? Ipo poa kwa 4G kweli?
Wakuu habari.
Nina simu LG g3, nilikuwa safarini nikawa na mapumnziko ya siku 2 mjini Maputo, ambako niliuziwa hiyo simu niliyoitaja hapo juu.
Baada ya kuitumia kwa muda wa kama wa mwezi mmoja...
Salaam jf.
Simu y angu aina ya
Samsung Galaxy Y Duos S6102. Nilifanikiwa kuiroot na kuifanyia custom kutoka 2.3.6 gingerbread kwenda 4.4 kit kat sasa hii kitu 4.4 ikawa imemaliza memory yote...
Kuna system moja ya custom nimekutana na hizi terms IM7, IM4, IM5, EX1, n.k
Nimejaribu ku-google lakini bado sijapata business process inavyokuwa kwa kila aina ya hizi terms.
Naomba mwenye...
Habari za leo wadau......naomba kuwasilisha kwenu na kuomba msaada wa ushauri juu ya microphone nzuri na affordable kwa ajili ya kurusha matangazo ya moja kwa moja i mean kama ya radio za...
Wataalamu wa tecnolojia naomben mnimalizie huu mkanganyiko. Kati ya SAMSUNG S5 na TECNO C8 ipi simu bora na nzuri katika matumizi?? Zinanichanganya saanaa!!!
Simu niliyonunua ni ya line mbili moja ni ya kawaida na nyingine ni ya kukatia.
Kwenye sehem ya kuweka line ya kawaida ina support mtandao mmoja tu wa tigo.
Naomben kujulishwa nifanye vipi ili...
Wadau najua hapa JF huwezi kukosa kitu,baada ya shemeji yenu kwenda masomoni na kazi ya kufua nguo imekuwa shuruba kwangu,sasa nataka kununua mashine ya kufulia nguo ambayo haizidi Tsh 500,000na...