Kwanini simu iliyofungiwa na TCRA ukiweka line ya Halotel inafanya kazi??

J33

JF-Expert Member
Jun 11, 2014
1,552
1,513
Naomba kujua ni kwanini hili linatokea, ni kwamba TCRA hawana uwezo wa ku control baadhi ya makampuni au kuna ujanjaujanja??.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Naomba kujua ni kwanini hili linatokea, ni kwamba TCRA hawana uwezo wa ku control baadhi ya makampuni au kuna ujanjaujanja??.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Kuna mtu nayeye akiweka airtel fresh tu
 
Kila mtandao ulipewa kazi ya kuzima simu feki zinazotumia line za mtandao husika
Wakimaliza walikuwa wanazisogeza TCRA ili zifungiwe jumla

Hiyo yako ukute bado file halijafika TCRA
Watakukamata tu
 
Nahisi serikali imepoteza pesa nyingi bure kufungia simu fake wakati zingine zinapiga kazi.bora wangezuia uingizwaji simu fake tu na hizi zilizomo zingejifuta zenywe
 
Kwa ujumla sioni kama TCRA walifanya kitu, nadhani walikuwa wanatafuta atention tu waonekane na wao wapo na wanafanya kazi!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kwa ujumla sioni kama TCRA walifanya kitu, nadhani walikuwa wanatafuta atention tu waonekane na wao wapo na wanafanya kazi!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
usiwabeze, kumbuka kwenye TV walifanikiwa na sasa huwezi kuona kituo chochote cha televisheni nchini Tanzania bila kuwa na king'amuzi. Ni suala la muda tu, jambo hili litafaulu. Naona watanzania sasa tumekuwa watu wa kubeza kila jambo linalofanywa na serikali, ni tabia mbaya sana hii.
 
usiwabeze, kumbuka kwenye TV walifanikiwa na sasa huwezi kuona kituo chochote cha televisheni nchini Tanzania bila kuwa na king'amuzi. Ni suala la muda tu, jambo hili litafaulu. Naona watanzania sasa tumekuwa watu wa kubeza kila jambo linalofanywa na serikali, ni tabia mbaya sana hii.
hapa na kupinga me ni shahidi nina tv yangu niko kilimanjaro situmii vingamuzi wala nini ni kadishi ka kawaida najimwaga na channel kibao
 
Eti yangu imezimwa Leo.. Chakushangaza IMEI na jina la simu ni Sawa.. Kwa lugha za kitaa ni OG
 
Back
Top Bottom