Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

kwa anayefahamu namna ya kujiunga na kifurushi cha siku7 cha startimes pls aniambie
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msaada jinsi ya kuactivate lg g4, nikiwasha inanipa option ya kuselect language, nikishaselect language inanipa option ya kuset internet connections ambayo nikiselect chochote kile inanipeleka...
0 Reactions
1 Replies
920 Views
Wadau kunatofauti gani kati ya GIS na GPS katika matumizi na ipi ni bora
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni matumani yangu mmeamka salama. Eid Mubarak [emoji287] kwa wale ndugu zangu waislamu. Leo asubuhi nilipoamka nikashangaa kuona kasimu kangu cha nokia ya tochi cha mchina kalichokuwa kamefungia...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari Jamani naombeni msaada wa file la remove samsung account.kila niki google nalipata la google account
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndg wana jf naomba kusaidiwa Nina laptop aina ya HP min probook 4331s wakati nainunua ilikuwa na hard disk (HD) 640 nikabadili window 7 na kuweka window 8 .sasa cha ajabu imepungua HD ni 121+474=...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Hbr wana JF.... Naomba msaada jinsi ya kufunga website flan isifanye kaz ktk PC yako mana hapa home nakoma kila nkiacha PC nkirudi ile kupitia Internet nakuta Web ya mwisho kutumika ni ya porn
0 Reactions
14 Replies
7K Views
I have a harman kardon home theatre including AVR. The AVR has malfunction and am looking for a technician to repair it. Where can i get one here in Dar.
0 Reactions
0 Replies
650 Views
Whatsfapp ni moded application ya Android inayofanya kazi kama Whatsapp ya kawaida kwenye simu ya android. Ni salama kwa mtumiaji na haiitaji ROOT kwenye simu una install ya kuanza kutumia kama...
2 Reactions
5 Replies
12K Views
Msaaadaa tafadhar simu yanguu ya TECNO mda wotee inanipa hiyoo notification na pia huwa hairepond freshi. Wadau Wa jukwaa mnisaidiee nifanyejee?
0 Reactions
4 Replies
896 Views
Wadau kiasi flani natumia hizi social network, lakini bado naona kuna vitu nahitaji kujifunza Zaidi kama vile kuunda page, kupromote page, kuunda blog na kuiendesha na mengine kibao. Wapi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naombeni msaada wakuu, toka jana nikizima data kwenye simu yangu bado naendelea kupata huduma za internet km WhatsApp, naweza kuingia jamii forums, wakuu tatizo ni nini maana simu inakwisha charge...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nipo Dar es salaam KINONDONI, natafuta fundi mzur wa computer, haiwaki kabisa. Asante
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Je unaweza kuchukua pic Instagram? Kama huwezi cha kufanya.kuwa na Instagram ya kawaida,Alafu download [OGinstagram],unazitumia kwa pamoja unaweza kuchukua pic yoyote Instagram pamoja na video...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilikuwa nauliza application ya kuedit pcha ikawa kama catoon.Ni ipi kwa pc
0 Reactions
1 Replies
880 Views
Habari zenu wataalamu.. Nimepata tatizo baada ya kubadili laini kwenye simu (aina ya tecno j7) inaniletea ujumbe wa "pin..please enter the privacy password to unlock" Nahisi niliwahi ku-activate...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kama ndio unaingia humu kwa mara ya kwanza kabisa inawezekana kuwa unapata shida sana kuficha ujumbe katika mitandao ya kijamii hasa hasa WhatsApp. Labda una familia, marafiki au wafanya kazi...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Hii hapa moded Whatsapp Reborn kwa wasio penda kutumia whatsapp ya kawaida DOWANLOAD HAPA: https://userscloud.com/pky14enb3qxp
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Guys... I have been looking for help here and there on how can I make a logo. If there is any app or website i can use please tell me..[emoji102]
1 Reactions
2 Replies
1K Views
naomba msaada wakuu,kama naweza pakua free windows office ya 2007 na kuendelea,na isiwe ya majaribio. bila ya kutumia cd. kama inawezekana msaada tafadhali
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom