Fundi wa computer dar

Fundi wa computer dar

ESPIRIT

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2014
Posts
665
Reaction score
524
Nipo Dar es salaam KINONDONI, natafuta fundi mzur wa computer, haiwaki kabisa. Asante
 
Hujambo mjukuu wangu

+255653400594
Watafte hao mafundi walinitengenezea vizuri sana computer yangu. Wanapatikana msasani.
 
Ndg wana jf naomba kusaidiwa
Nina laptop aina ya HP min probook 4331s wakati nainunua ilikuwa na hard disk (HD) 640 nikabadili window 7 na kuweka window 8 .sasa cha ajabu imepungua HD ni 121+474= 595 ( yaan total ya partition C na D ) naomba msaada ili niweze kuiongeza ukubwa wake n je hiyo nafasi ipo kwenye partition au sehemu gani?
 
Asante nimeongea nae nashukuru mzee kifimbo cheza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom