Wakuu naombeni msaada ninatumia laptop vaio yenye kutumia window 8.1 sasa nına modem ya halotel ambayo nimeanza kuitumia kama wiki hivi. Kila ninapoitumia baadaya ya muda inafreeze laptop ambapo...
Dah,mtandao wa tiGO kwenye internet ni wa kipuuzi,unakosesha raha baadala ya mtu ku-enjoy,page ina-load weeeeeee.....!!!! mpaka inakata yenyewe,ukinunua bando linaisha ukiwa umefanya machache...
Habari za wakati huu wadau????
Ebhana hii simu tecno C8 inanichanganya sana hii simu ni kwamba niliponunua nlipewa na charger yake na ikawa inapokea chaji vizuri tuu sasa kwa bahat mbaya ile...
Habari wakuu. Bila shaka kama siyo kuwa mgeni basi nipo nyuma kwa suala la chrome based computers. Hizi computers nimezikuta sana kwenye company nilioajriwa. Sikuwahi kuziona madukani zikiwa...
Wengi wetu tumeliona hili tangu TCRA wafungie simu bandia ili kutokomeza simu bandia. Lakini cha kushangaza Samsung nyingi sana ambazo sio bandioa zimekuwa katioka mkumbo huo, wengi wetu walikosa...
Hi jf.. Wale wote mlio na tecno y3+ kutoka tigo ambazo hazifanyi kazi bila lain ya tigo na 3g inasoma kwa line moja tu yaan ya tigo.. Tunatibu hilo tatizo sim yako itafanya kazi bila line ya tigo...
Naomba msaada wenu, kila nikijaribu kuinstall itunes kwenye laptop inagoma, nikiinstall inaendaa ikifika sehemu inaanza kurudi nyuma ( roll back) then inaishia hapo, nimejaribu version tofauti ila...
Juzi nilimua kwenda Mlimani City kwenye Duka la Voda kwa ajiri ya Kuswap line yangu ya Voda kwenda kwenye 4G kama wao wanavovyesema! Lakini Before Nilisha enda K/koo pale Msimbazi kwenye Duka la...
WAKUU HABARI ZENU Nimejaribu kufuatilia labda kutakuwa na uzi wowote uliojumuisha jinsi ya kuunlock modem za tigo huawei 303e ili itumie line zote bila mafanikio sijapata....
NAOMBENI MSAADA WENU...
Wakuu poleni na J.pili nzuri iliyotulia,
Mimi mwenzenu kuna kitu kinanitatiza kwenye simu yangu hii ninayotumia ni samsung galaxy. Sasa hapa juu karibu na hivi viminara vya data ikiwa on kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.